Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014

Duuuh,hii thread ni maalum kwa ajili ya timu handsome boy Vs timu whitehead.
Kila la kheri !
 
Aisee, Lukuvi anatoa hoja ambazo zinashawishi wabunge wengi sana
 
Mimi kama mmoja wa wananchi kati ya walio wengi nauliza , raisi, wabunge, madiwani hatuku wachagua kwa kura ya wazi sasa leo wanatuambia kura ya wazi , hiyo ni ya kwake yeye na maccm wenzake wasituhusishe sisi wananchi . Tunataka kura ya siri tuuuu. Au boresheni daftari la wapiga kura alafu wananchi tutaamua tunataka kura ya aina gani.
 
Jamani mbona Bunge kama vile la watoto??? Natamani ningewachapa viboko aisee....
 
anachotaka kufanya lukuvi ni ujanja mwingine.wa kitoto....hiyo kamati ya kudumu wanataka wajazane.humo.ccm ili waje.na.maamuzi.ya.kuathiri na kuharibu bunge zima.....kwa nini hiyo kamati ya iliyoandaa kanuni isiamue.maana ndio at least ina wajumbe.wenye uchungu.na.nchi
 
Kamati ya kanuni wanatupiwa mpira na mwenyekiti waseme hasa simba chawene
 
ccm ni chama cha washenzi na wahuni wakubwa
 
anasema kanuni zimepita kwa asili mia 95.anasema kama mwanzoni waliamua kufanya kitu kwa maridhiano kura ya siri haitakua na maana.
 
akiongea bungeni kuhusu kura ya sili au ya wazi amesema kuwa yeye ni bingwa wa kuzomewa kwahiyo watu waendelee kumzomea.!
 
Kweli kuna mgawanyiko mkubwa..huko bungeni inaonekana dhahiri kabisa.!
 
Sisi Watanzania tuache unyonge,...hivi zile asasi za kiraia ziko wapi kuhamasisha watu tuandamane..?
 
Lukuvi mshenzi na muhuni mkubwa hana jipya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…