Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014

Mungu tuepushe na hili bunge la katiba, wameingia bungeni dk 40 tuu na bunge lote limekuwa ni zomeazomea mwanzo mwisho, mungu tuepushe na hili jangaaaa, uuuuuuuuuuwiiii
 

Chukua likes 1000 mkuu.!
 
Je leo kulikuwa kuna haja gani ya Wabunge kukutana na Kuhairisha BUnge? hata Huyu Mwenyekiti wa Muda anaonekana anatumiwa hakika inatia hasira kwa watu wenye akili timamu kufanya mambo muhimu kuwa ya kipuuzi
 
Lukuvi amaesema wanaozomea ni wale wa siku zote..... ila wajumbe wajue hata tundu lissu allikuwa mmoja wa washauri. sasa sijajua alimaanisha nini ama ndo kumaaanisha wapinzani ndio wanazomea
 
Naomba tena kwa mara nyingine nitoe utabiri wangu wa leo, kuna kila dalili leo kikao cha jioni hakitaisha salama kwa aidha kutukanana kwa wajumbe/wabunge au kupigana kabisa. Time will tell, let us wait.
 
hilo bunge la katiba lime kuwa kama orijino komedi vituko tuu
 
wabunge wa ccm washenzi na wahuni wakubwa ndo wanaruvuga bunge
 
Lukuvi amaesema wanaozomea ni wale wa siku zote..... ila wajumbe wajue hata tundu lissu allikuwa mmoja wa washauri. sasa sijajua alimaanisha nini ama ndo kumaaanisha wapinzani ndio wanazomea
anajiita Sugu wa kuzomewa akijijua kuwa huwa anaongea upuuzi ndio maana anazomewa angekuwa na akili timamu angajiuliza kwanini anazomewa kuliko kujipa umwamba wa kuzomewa Bungeni.
 
Lukuvi amaesema wanaozomea ni wale wa siku zote..... ila wajumbe wajue hata tundu lissu allikuwa mmoja wa washauri. sasa sijajua alimaanisha nini ama ndo kumaaanisha wapinzani ndio wanazomea

Lukuvi kama uko humu tambua kua hiyo dhuluma unayoifanya dhidi ya wananchi masikini tena wasio na uhakika wa mlo japo mmoja kwa siku itakutokea puani siku moja. Mark my word. Na namwomba Mwenyezi Mungu Mtukufu Muumba Mbingu na Nchi na vyote vilivyomo asikie dua yangu. Amina.
 
Bunge linaahirishwa hadi saa 10 jioni ambapo watakuja kwa utaratibu wa Bunge Maalum la Katiba. Wabunge wameambiwa wavae kwa utaratibu wa kibunge

Mkuu umesikia sauti ya mjumbe akitanabahisha mjumbe mwenzie ni BWE.GE? Ana maanisha bwe.ge kachaguliwa na................? Hahahhhaahahh.........very interesting.
 
"... tumefika hapa kwa upuuzi wa CCM," John J. Mnyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…