Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014

Ni nini hasa kitatokea kama ikipigwa kura ya siri? kwa nini wasifuate tu alichoomba mwalimu oluoch
 

au hata hotuba za mwl Nyerere..
 
hapo lazma sitta akae hapo ndo tutapata katiba

Mkuu tukiweka mbali ushabiki, hapo mwenyekiti alifaa kuwa Issa Shivji, kwisha kazi. Mengine tuseme tu kwa kua mfumo ndivyo ulivyo na miafrika ndivyo tulivyo.
 
Lukuvi amaesema wanaozomea ni wale wa siku zote..... ila wajumbe wajue hata tundu lissu allikuwa mmoja wa washauri. sasa sijajua alimaanisha nini ama ndo kumaaanisha wapinzani ndio wanazomea

Yaani huyo Lukuvi angejua ni jinsi gani namchukia yaani namchukia labda angenila nyama..jitu linajidai linajua kanuni kuliko mtu yeyote yule ndani ya bunge...
 
Ni nini hasa kitatokea kama ikipigwa kura ya siri? kwa nini wasifuate tu alichoomba mwalimu oluoch

mrisho na lukuvi na anne ndo wameharibu mambo kabisa na nilisema hili toka mapema kabisa ila Chabruma akanipinga
 
Last edited by a moderator:
Yaani huyo Lukuvi angejua ni jinsi gani namchukia yaani namchukia labda angenila nyama..jitu linajidai linajua kanuni kuliko mtu yeyote yule ndani ya bunge...

wanamwita mzee wa kanuni ya 64 ya kanuni za kudumu za bunge
 
Mkuu tukiweka mbali ushabiki, hapo mwenyekiti alifaa kuwa Issa Shivji, kwisha kazi. Mengine tuseme tu kwa kua mfumo ndivyo ulivyo na miafrika ndivyo tulivyo.
Hilo ndio suluhisho ila hakuna cha Sitta kwenye Bunge hili la Katiba
 
mbunge wa kuchaguliwa ana akili za hivi!?basi majanga

Mkuu Tz kila kitu kinawezekana..

Yani huyu Simiyu Yetu !!!

Mkuu hili ni zaidi ya janga..

Mwenye kuijua Elimu yake atujuze Wakuu..
 
Last edited by a moderator:
mrisho na lukuvi na anne ndo wameharibu mambo kabisa na nilisema hili toka mapema kabisa ila Chabruma akanipinga


Yaani leo sijamuona mwenyekiti mzee kificho yule nilomzoea. Au ndo naye keshafichwa. ama kweli ukikubali kificho utafichwa tu
 
Mkuu Tz kila kitu kinawezekana..

Yani huyu Simiyu Yetu !!!

Mkuu hili ni zaidi ya janga..

Mwenye kuijua Elimu yake atujuze Wakuu..

Mkuu mimi siku hizi siamini sana ktk cv za watu, na badala yake naamini ktk utendaji na ufanisi wa mtu. Jitu la namna ya simiyuyetu unaweza kuta ni miongoni mwa yale majitu ya siku hizi yanayojiita dr.dr.dr.dr. XXXX pasipo hata kua na chapisho japo moja tu achilia mbali udaktari wa tiba kisha linatukana wananchi walipa kodi kwa kudai eti serikali haina fedha za kulipa mishahara mikubwa huku mchwa (wanasiasa) wakipeana maposho manono.
 
Last edited by a moderator:
Hawa wahuni wa CHADEMA watuharibia bunge letu

Kama ban na nipigwe tu,lakini wewe kwa yanayoendelea kama unadiriki kusema hivi basi wewe ni kama yule aliyekuwa anahojiwa jana clouds fm!Wewe ni m.s.e.!Sijui mkoje nyie,,
 
Samweli ana msimamo tatizo ccm hakuna aliyefaa kuongoza bunge wote wahuni tuu bora samwel sitta ndo naona afadhali
 
Kama ban na nipigwe tu,lakini wewe kwa yanayoendelea kama unadiriki kusema hivi basi wewe ni kama yule aliyekuwa anahojiwa jana clouds fm!Wewe ni m.s.e.!Sijui mkoje nyie,,

Hahahaaaaaaa jamani mbavu zangu mieeee. Mambo ya antisuzi yamefika na huku! Ee yangu macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…