Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014

Naona tbc wanajianda kurusha star tv pia wapo hewa karibuni wadau..
 
Wadau Bunge ndo limeanza kurushwa live, Baba Askofu anasoma Sala (Dua).
 
Mhe. Huyu alitangaza hadharani kwamba naye hatochukua pesa za posho katika Bunge hili Maalum la Katiba.

Tazama yaliyojiri sasa.


 
Baadhi ya Wabunge wakisikiliza dua ya Sheikh Jongo
 

Attachments

  • image.jpg
    584.5 KB · Views: 105
Kipute ndio kinaanza mgeni rasimi anakaguwa wachezaji wa pande zote sasa tuone siri au wazi
 
Samahani wadau picha imekataa kuupload
 
Mwenyezi mungu tusaudie leo wapitishe hivyo vifungu viwili kwa maslahi ya taifa!sala zinazoombwa na viongozi wa dini pale bungeni ni nzito na zina umuhimu wa kipekee!
 
Mwenyekiti kaanza kwa kuomba radhi kwa kuchelewa kuanza kikao kutokana na majadiliano yaliyokua yanaendele.
 
Mwenyekiti qnawataka radhi wajumbe kwa kuchelewa kuanza. Badala ya saa tano kamili, na sasa ni saa sita na robo. Amesema kuwa hiyo imetokana na mashauriano yaliyokuwa yanaendelea na kamati husika
 
Chaajabu nini kwani sasa au ndiyo umeelekezwa hivyo sawa tumekusoma
 
Mwenyekiti anamsimamisha Mwenyekiti wa kamati ya kanuni kutoa taarifa
 
mwenyekiti wa kamati anatoa taarifa hapa
 
Mwenyekiti wa kamati ya kanuni amesimama kutoa taarifa ya kazi waliyokabidhiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…