Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Hilo bango kipoko, na linaonyesha njia nyeupe kwa ENL. Historia haifutiki, wamekopi alichosema yule kijani, "BUZIKU WANYE BARABARANI WASAMBAZE IWE LAMI", DUH!!!

Naziona kula za hasira Chato.
 
Uliza kilichotokea Geita mjini! Kashindwa kuhutubia!! Jamani muoneeni huruna Mzee wa watu! Anaumwa sana mwacheni apumzike!
Usiwe muongo ratiba ya Geita haikuwa leo alipita kuwasalimia tu subiri mafuriko ya Geita utashangaa.
 
sasa apo ni sifa lowasa punguza misifa na wewe du sasa ngoja uyo pombe tunamsubiria ar. Aone atakavyo toka na aibu maana sisi uku tunakula pesa za magambazi na kwenye mkutano wake tunaenda kumpigia pipooooz pawaaa za kutosha na kura azipati ng,o
 
Tuioko ktk mgao mafuriko haya hatuoni luningani ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…