Acha kuota wewe.Vijana na hizi jezi zao nyeusi hawanaga msalia mtume.Spurs leo lazima akae.Liwake jua inyeshe mvua ajax anakufa!
Narudia kukwambia Ajax safari ya kutolewa ndio inaanza leo kwa kuchabangwa 2-1Acha kuota wewe.Vijana na hizi jezi zao nyeusi hawanaga msalia mtume.Spurs leo lazima akae.
Wanapiga mpira lakini watakosa matokeoAjax wapo moto jamani.Hawa watabeba kombe la cl pale Madrid 1 June.
Haya mpira dakika 90.Tutarudi hapa baada ya mpira kuisha. Ila kwa Spurs siioni wachezaji wa kuifunga Ajax (Ayax)Narudia kukwambia Ajax safari ya kutolewa ndio inaanza leo kwa kuchabangwa 2-1
Usiyaamini macho yakoHaya mpira dakika 90.Tutarudi hapa baada ya mpira kuisha. Ila kwa Spurs siioni wachezaji wa kuifunga Ajax (Ayax)
Mpira biashara. Hawa jamaa wana academy nzuri sana. Sawa na barca.Sasa hawa washenzi, Frenkie de jong wamemuuza, Andre nae nasikia ni msimu wake wa mwisho kuwadakia, ziyech nae anaondoka watayumba tena
Ndoto.Liwake jua inyeshe mvua ajax anakufa!
Mkuu habarHaya mpira dakika 90.Tutarudi hapa baada ya mpira kuisha. Ila kwa Spurs siioni wachezaji wa kuifunga Ajax (Ayax)
Hahahahahahahahah wakikutana Barcelona watabeba lakini sio kwa Forward ya Salah ,Mane ,FirminhoAjax wapo moto jamani.Hawa watabeba kombe la cl pale Madrid 1 June.
Gemu over wakuu duh awa watoto sijui wanataka nnHahahahahahahahah wakikutana Barcelona watabeba lakini sio kwa Forward ya Salah ,Mane ,Firminho
Second leg ndio utaona kipute kukali balaaTot maheruh wamemuangsha
Hawana tofauti na CUF ya lipumbaNitafurahi hawa spurs wakitolewa
Ni timu isiyokuwa na malengo wapo wapo tu
Imekuwa game moja mbovu sanaNi gemu nzuri ya kuitazama si ya kukosa kabisa hasa ukizingatia uwezo ulioonyeshwa na timu zote mbili.