secure=lack of supportive criteria,,didn't acquare =hujapokea,,,:xo wale ambao course zao ni priority mnaombwa ku-appeal ila majibu yatatoka baada ya siku 90 haya ni majib ya mhasibu Joyce Mgaya ila hata yule ambaye kapata ila hakulzka unaweza appeal xo hata kama course yako non-priority unaweza omba lakini Mkurugenzi kaja jioni mimi bnafs nmepata bahati ya kuongea nae kasema kesho atakuwepo asubuh xo nitaenda mapema xana ili nipime upepo kuhusu nini ktatokea baadae :kama una swal uliza!