Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Jaji anaweza kupelekwa kijijini???!!! Ni wapi kuna maeneo magumu ambayo unaweza kumpeleka Judge?Uwa ni jaji mzuri sana tunafanya nae kazi anatendaga haki sana sema hii kesi ni ya kisiasa sana akitenda haki lazima aumie eg kumtoa mjini na kumpeleka mazingira magumu etc. Trust me tiganga ni jaji mzuri
Unapokuwa Unaangalia Kipengele Kimoja kikiwa Kimekatika Kimoja basi Mnyororo huo Unakuwa Umekatika.. Katika Kushughulika na Vielelezo Hivyo kuwa Vipo namba ambavyo Vinakatwa Mpaka Vinafika Mahakamani. Siyo Sahihi Shahidi Mmoja tu anapotoka Ushahidi Kueleza Kwa niaba ya wengine Kuhusiana na Mnyororo Kuvunjia au kutovunjika.
Exhibit ambayo inatakiwa Labeled inatakiwa Kuwa Paper Pin, PGO 229(8) Kuwa label hiyo inatakiwa Kuwa ni Minor number, na Vingine.. Kutokana na Malekezo hayo ya Kisheria yaliyoelezwa katika PGO Hiyo ni wazi Kuwa Alama iliyowekwa siyo alama ambayo PGO 229 Imeitambua na kuelekeza.
Wakili Nkungu: Unafahamu Kwamba PGO inasema Kinyume Kwamba Askari hategemewi Kutumia Kumbukumbu zake?
Shahidi: Mie sifahamu, ila nafahamu Sifa ya Askari ni Kumbukumbu
Wakili Nkungu: Kwa hiyo PGO inaposema Kuwa Askari asitegemee Memory yake inadanganya
Wakili Nashon Nkungu: kutokwepo kwa Nyaraka Hakuna Mtu Mwingine Kwa Hakika ataeleza Kuwa Watu hawa walifikishwa Moshi
Shahidi: Sasa Mimi si Nipo hapa Ndiyo Nina Uhakika..
Wakili Nashon Nkungu: Kwa hiyo Nyaraka hizi ni Urembo
Shahidi: Kimyaaaaaaaaaa
Wakili Nashon Nkungu: Ushahidi Wa Nyaraka Muhimu zinazoelezwa na Sheria hujatoa hapa Mahakamani
Shahidi: Mimi sijaleta Nyaraka hiyo
Wakili Nashon Nkungu: Wakati Mpo Moshi Watuhumiwa Walikuwa Wanalala wap
Shahidi: Walikuwa ni Wahalifu
Kibatala: Kama Wahalifu Kwanini Mliwaachia
Shahidi: Kwa sababu hapo kuwa na Ushahidi Wa Kutosha.
Kibatala: Sasa Watu ambao Umekosa Ushahidi unawaita Wahalifu?
Shahidi: Kimyaaaaaaaaaa
Sasa mikoa tofauti na dar mwanza arusha na mbeya vilivyobaki si jijiji tu? au ulijua namaanisha vijiji vya tandahimba?Jaji anaweza kupelekwa kijijini???!!! Ni wapi kuna maeneo magumu ambayo unaweza kumpeleka Judge?
Wakili msomi umejua nichekesha leo. Msomi tuachane na hizi judgements, msomi natamani mbowe atoke hata leo ila na wewe unajua jaji yeyote atakaehusika kwenye kesi hii kazi anayo maana ni kesi ya kisiasa ina maelekezo kutoka juu karibu na mbinguni😂NATAFUTA KESI ZAKE NA KUZISOMA KUONA KAMA ZINA MANTIKI YA KISHERIA MAANA HUU USHENZI ANAOUFANYA ANAKUWA MTUMISHI WA SHETANI NA LANA JUU
Ungeandika kiswahili tu,hapo mwishoni kama inakuja inakataa!With due respect, Tiga is still incompetent Judge. So he has wrong way to go.
Kwa hii spana ya kibatala...bwana poti akawa mdogo kama piritoni.....Kibatala :Unafahamu Unatakiwa Kuwa na Adabu Unapokuwa Kwenye Kizimba Cha Mahakama na Mchakato huu
Mama ni muongo muongo sana, ndo shida ya watu wa Pwani kuwapa madaraka makubwa ya kuongoza nchi. Nilimuona majuzi kwenye kitchen party anarembua jicho au siyo yeye?Nawasalimu kwa jina la jamuhuri [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama mnafatilia kesi ya Mbowe kwa shahidi huyu wa 8 nahisi...
Huyu bwana, ananikumbusha Wakili Masumbuko Lamwai, na yule Muhindi Lakha!Kwa hii spana ya kibatala...bwana poti akawa mdogo kama piritoni.....
Ila iko siku watalipa "heavily".Inafahamika ila acha inyeshe ili tuone panapovuja