Mkuu hiyo livestream gani isiyofunguka
Jf mmefuta huzi wangu wa YES to Karume na NO to Nyerere ila mwisho wa siku hata kama si hapa Jf huu kweli utasemwa na watu watausoma hata kwa njia nyingine
Ni sifa gani alikuwa nayo Amani na udhaifu wake ambao Makongoro hana? na kwanini ienziwe familia ya Karume na ya Nyerere idhalilishwe hivi hapa Tanzania?
Acha uongo.
Ni:Membe,Migiro,Magufuri.
Walikuwa wanaimbaje mkuu? Mimi sijaona
Acha uongo.
Ni:Membe,Migiro,Magufuri.
Haha huu utakuwa utani wa kisiasa, haina tofauti na kufungia simba zizi moja na mbuzi!CCM please tunaomba raisi mwanamke kama mlivyofanya katika nafasi ya Spika ya mama retu Makinda tutafurahi sana UKAWA...
NIna internet yenye speed ya kutosha. Lakini hiyo link inagoma. Hata niki search kawaida siipati.Inategemea na spidi yako ya Internet. Mie napata HD.nasikiliza tuwabwage tu hapa
JF rudisheni accessibility ya JF kwa guest? Kwa nini muda huu tu?, mbona siku zingine access ipo?
Mimi kwangu ,magufuli,amina salim ally ,January makamba. ila wadau siye tulio mbali tunafuatiliaje? je kuna mtandao wowote uko online?
1.membe 2.Magufuli 3.asharose
Mkuu narudia tena kukuuliza utapenda tuvunjiane heshima? na mimi naweza kukuita vyovyote lakini naomba usikimbilie kwa Mods mara ya pili hii nakujibu kiustaraabu kama utapenda twende upendavyo sawa.bwana mohd hivi ni kweli lowasa kahonga watu wote hawa?
JF rudisheni accessibility ya JF kwa guest? Kwa nini muda huu tu?, mbona siku zingine access ipo?
Kwamba wana imani na Lowassa...
Na ungemwona Lowassa... Inatia huruma sana