Mkuu sipati picha,ndo huyo Fatma Said Alli alikuwa na huyo Amina wizara moja ya michezo na utamaduni. enzi hizo Mkwasa bado anacheza National Team Ukwaju
Mkuu upo sahihi kabisa, kuna kipindi Mkuu aliomba pooo watu wakale kwanza
Hiyo post niliileta Mimi , na alieongezewa ulinzi alikuwa Makongoro Nyerere
Bilali ni Muslim afu Ana wake wives yaani sio mistress sasa kama amna wasafi alternative hazijaisha bado tuna ukawa tuwape ao atuwezi kujigeuza lab rats et tufanyiwe majaribio ii ni nchi sio maabara
Mkuu hata usingeandika haya yote tayari AVATAR yako imeshamjibuPunguza umbea kijana,hizo habari zako za kijinga source yake ni ipi?
Hiyo post niliileta Mimi , na alieongezewa ulinzi alikuwa Makongoro Nyerere , kwa busara za baraza la ushauri, na ushauri wao ulikubaliwa na JK , na jk alikubali lakini top 5 ya wazee wa ushauri ilipoenda kanati kuu kikwete akaikataa na kuchukua yake na kuipitisha kimabavu na maghufuli hakuwemo ndipo wazee wakashaur tena awekwe maghufuli baada ya mapendekezo ya awali kukataliwa ambao walikuwa
1 Pinda
2 Bilal
3 Asha rose
4 Makongoro
5 Jaji ramadhani
Kikwete akawatosa wazee na kuja na list yake na walipomuuliza chaguo lake akasema Membe , ndipo mkapa akachukia wakachenjiana kwenye kikao ila kikwete akalazimisha ila akakubali maghufuli kwani alijua ni msindikizaji , baada ya kukubali marais wastaafu wa Tanzania na Zanzibar wakaomba maghufuli apigwe tafu na mchezo ndipo ulipoanzia , nazani wote mashahidi kilichotokea NEC kwa chaguo la kikwete na familia yake , ambapo ndani ya NEC ridhiwan alipiga kampeni za wazi kwa Membe na Asha rose
Baada ya kupigwa NEC JK aliishiwa pozi ikabidi nguvu iende kwa asha rose migiro akimtumia riz one na membe wampigie kampeni akiwemo nape na makonda, dili likashtukiwa maana iliundwa propaganda ya ni zamu ya mwanamke , wajumbe MM walipozipata wakasema OK tutapiga kura za kukuonesha sisi ndio CCM na sio wewe
Upepo ukaanza someka baada ya maghufuli kuingia ukumbini yaani ni kelele na vifijo hali ambayo nape hakuipenda pia kikwete mwenyewe hadi kuwaambia kwa sauti watu wa geita tulieni hii ilikuwa ni kutengrneza UFA wa kikabila lakini ilishindikana , na MM imemuonesha adabu kikwete na familia yake , pia MZEE Warioba,Dr salim , kinana, MZEE mkapa, MZEE mwinyi na Karume wamefurahi sana kwani jamaa aliwadharau sana wakati yeye ndiye aliwaomba ushauri na akasema watakachokubaliana yeye atanaliki ,
Pia amesahau akistaafu na yeye ataenda baraza la ushauri , hivyo watamcheka sana kwani hatakuwa na nguvu tena ,
Magufuli haziivi na kikwete mtu asiwadanganye, kumbukeni kikwete alikuwa anamchukia sana magufuli 2005 hadi akataka ampoteze kisiasa kwa kumpa wizara ya samaki,
Magufuli ni zao la rais mkapa, na MZEE mkapa sasa atakuwa huru sana na kufurahi chaguo lake kushinda
Ngoja nifatilie mkutano, now pinda anaongea
Itaendeleea kujua , zaidi wakati wa uteuz na vikao vya maridhiano
kweli nimeamini URAIS hauna ubia - WAMEKATA.
Uhuru na hayati baba yake - Bayake ni Muasisi wa nchi ya Kenya - Uhuru ni Rais wa Kenya kwa sasa.
Makongoro na hayati Baba yake!! Baba yake alikuwa ni muasisi wa nchi ya Tanzania.
Sio CCM iliyopuuza,Mako kasema kamati ya maadili iliweka jina lake la kwanza tano bora ila kwenye KK kuna mtu mmoja kwa madaraka take akakata jina lake na alipoulizwa sababu hakujibu. Jee MTU huyo ni nani na kwa mini alimtoa Mako aliyependekezwa na kumuweka Bernard?CCM inepuuza nguvu ya jina la Nyerere!
huku mikoani watu wanasubiri tu kama lowasa atakuwa kwenye tano bora ili mchezo uishe. maana NEC na mkutano mkuu kwake mambo saafi.
Habari zilizonifikia hivi punde kutoka mkutanoni Dodoma ni kwamba, tayari yale majina 5 yameshapatikana na sasa mazingira yanatengenezwa ili kuyataja rasmi na kwa mlio Dodoma hapo chungulieni nje mnaona ugeni gani mkubwa wa ghafla wana ulinzi na usalama hapo?
Mnajua ni kwanini ulinzi huo umeimarishwa ghafla mchana huu? Muda wowote kuanzia sasa, hayo majina yatatajwa na mchana huu baada ya mapumziko kidogo wajumbe wanarudi upesi ukumbini kufanya mchujo na kuwabakisha watia nia 3 tu ambao kesho ndiyo watashindanishwa ukumbini na hatimaye kupatikana mmoja.
Ninaloweza kusema na ambalo ni fumbo kwenu sisi wazalendo tunamshukuru sana na mzee Philip Mangula, wazee wa CCM na wenye heshima kubwa na mdahalo ule wa juzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, kwani kilichopitishwa kimetokana na matamshi, matakwa na wosia wao na nasema kuwa chama sasa kimerudi katika misingi ya Baba wa Taifa na Watanzania wenzangu haswa wazalendo na wenye uchungu na nchi hii popote mlipo tafadhalini anzeni kufurahi kwani Mwenyezi Mungu amesikia kilio chetu. Nimefurahi na akhsante Mungu. Sasa nitalala usingizi.
Kazi imekwisha, hakuna cha kaskazini wala kusini na maslahi na ustawi wa chama ndiyo umezingatiwa ili kuua makundi ambayo yangekidhoofisha chama.
Mchana mwema nyote ila msikae mbali na radio zenu kwani muda wowote patakuwa na breaking news ya utangazwaji wa majina hayo yaliyoingia 5 bora. Mimi sasa kwa furaha iliyoje nakwenda zangu kufurahi. Nchi imerudi rasmi kwa wazalendo.
Naona baada ya kukatwa ulihama naemkuu lowasa akipita kwenye 5 bora mchezo umeisha.NEC na mkutano mkuu mambo yake saafi.
Mkuu hili neno litaendelea kutumika zaidi na zaidiHadi ifike jtatu hili neno la "AMEKATWA" litakuwa limeandikwa na kutajwa ziadi...
Hahaaaaaaa