Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Nimechoka, naenda kulala…Hamna jipya hapa labda mpaka kesho…yaani ni ubabaishaji mtupu

Nimetumbua mimacho kwenye tv na net tangu asubuhi mpaka muda huu naishia kujamba tu halafu sipati lolote la maana
 
sasa kama wao wamegawanyika unaconclude vp kashindwa. tusubirie tuone hadi mwisho wa uteuzi ktk ccm ama kwingine.
 

mmmmmh! sidhani kama ni kweli labda tusubiri tuone
 
Nimepitia tovuti moja
Inayoheshimika wanadai kikao

kinaendelea na matokeo ya 5;nafuu yatatolewa kesho!!!

Kama ni kweli matokeo ya 5nafuu yAtatolewa
Basi Nuru na Giza vimekutana !!!!
:
Hata hivyo sitarajii kumpa yeyote kura yangu,,!

Natia zangu UKAWA !!!
 
LOWASSA anatosha...Yeye Pekee ndiye anayeweza kupambana na hawa wahuni wa UKAWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…