Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Kazi wanayo ya kumuengua mmasai kwa sababu ambazo wao wenyewe wanazo. Yaani ufisadi, kujilimbikizia mali na kupora nchi nk.
 
kwanini asipochaguliwa Lowasa awe kakatwa lakini asipochaguliwa mwingulu iwe sawa tu? kwani Lowasa yeye ni nani hata hasipochaguliwa awe kakatwa? Nauliza tuu

kwanini neno kukatwa lilikuwa linaelekezwa kwa lowassa tu?yaani wengine ni kutokuchaguliwa lakini kukatwa ni lowassa,kwanini?nauliza tu
 
Watano wa ccm hawa hapa
Prof. Mwandosya
Mwigulu
Jaji Ramadhanu
Mizengo pinda
Dr Asha migiro.

Na tatu bora
Prof. Mwandosya
Dr. Asha migiro
Jaji Ramadhani.

Moja ya ccm ni
Prof mwandosya

Hayo ni yangu tuu. Tuonane J3
 
Lowassa kapita Sasa labda angalieni hao washiriki wengine kama kunaambae angalau anakaribia karibia ila haturudishi BMWB msimu mwingine itakua ngumu sana labda wakajaribu kwingine
 
Watano wa ccm hawa hapa
Prof. Mwandosya
Mwigulu
Jaji Ramadhanu
Mizengo pinda
Dr Asha migiro.

Na tatu bora
Prof. Mwandosya
Dr. Asha migiro
Jaji Ramadhani.

Moja ya ccm ni
Prof mwandosya

Hayo ni yangu tuu. Tuonane J3

Mkuu lala nahisi usingizi unakunyemelea!
 
We need a choice of God and not Men. Whoever God gives favour we must accept and choice must be put aside. God bless you.

Inside CCM there is absolutely nothing like choice of God. CCM has failed us due to incompetent leaders, condoning corruption, nepotism, politicizing everything. With this bunch of looters expect nothing meaningful. CCM has to go forever.
 
Kama Nape amechoka kuzunguka nchi na Kinana na VX la CCM amkata EL amweke Pinda. Nchi itapindishwa na Slaa ataingia magogoni
 
kwanini neno kukatwa lilikuwa linaelekezwa kwa lowassa tu?yaani wengine ni kutokuchaguliwa lakini kukatwa ni lowassa,kwanini?nauliza tu

Hata wakati Yesu alipozaliwa kulikua na mahangaiko ya watu kama akina Herode waliopata shida kwaajili ya mtoto aliezaliwa kwenye zizi la ng'ombe.
Kikawaida ya mtawala mpya kuzungumzwa sana na watu kabla hajakalia kiti thamani ya Lowassa ni kubwa kwanamna ambavyo watu hawawezi eleza ndo Maana mahangaiko yako makubwa sana imagine siku kumi zote watu wanamzungumzia mtu mmoja
 
Watano wa ccm hawa hapa
Prof. Mwandosya
Mwigulu
Jaji Ramadhanu
Mizengo pinda
Dr Asha migiro.

Na tatu bora
Prof. Mwandosya
Dr. Asha migiro
Jaji Ramadhani.

Moja ya ccm ni
Prof mwandosya

Hayo ni yangu tuu. Tuonane J3
Wazee wa kubet kama kawaida wapo mzigoni.
 
Safari hii hawatafika salama. Dhuluma juu ya Watanzania itawamaliza. Yetu masikio na macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…