GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ni Rasmi Sasa Kuwa Lowassa Amekatwa. Mtakao Niamini Vizuri Na Mtakaoona Natania Shauri Yenu Na Nyie Watu Wa Team Membe Hata Yeye Pia Hayupo Na Amekatwa. Taarifa Kamili Ni Kuanzia Saa 7 au Saa 8 Usiku Na Wanafanya Hivi Kwakuwa Kutakuwa Hakuna Watu Wengi Pale Maeneo Na Ulinzi Usiku Huu Umeimarishwa Maradufu Kupambana Na Wale Wahuni Wa Lowassa Waliopanga Kufanya Vurugu. Sasa Kikao Cha Kuwatafuta 3 Bora Kinaendelea Na Wakimaliza Tu Kuwapata Nape Atazungumza Na Waandishi Wa Habari Ambao Wameweka Kambi Hapo Hapo Ukumbini. Narudia Tena Kusema Si Lowassa Wala Membe Aliopita 5 Bora Na Timu Ya Lowassa Inataka Kufanya UMAFIA Kwa Kuhakikisha Kuwa Asha Rose Migiro Anapeta Katika 3 Bora Ili Wapige Kura Za Maruhani ( Za Kukomoana ) Ili Mwanamke Achukue Nchi Ila Wazee Wanajitahidi Kuhakikisha Nchi Anakabidhiwa Magufuli au Mwandosya au Sitta Na Katika Umakamu Imeshaamriwa Awe Jaji Ramadhan. So Far Hii Ndiyo Latest Yangu Kwenu Na Nina Uhakika Nayo 100%.