LGE2024 Yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro - Novemba 27, 2024

LGE2024 Yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro - Novemba 27, 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Kilimanjaro.jpg

HISTORIA FUPI
Mkoa wa Kilimanjaro ulianzishwa rasmi mwaka 1963 kwa Tangazo la serikali Na.450 la mwaka huo ukiwa na wilaya za Kilimanjaro na Pare.

Kabla ya Uhuru Mkoa wa Kilimanjaro ulikuwa ni sehemu ya Jimbo la kaskazini (Nothern Province) lililokuwa linaundwa na wilaya za Arusha na Mbulu, Wakati wilaya ya Pare ilikuwa sehemo ya jimbo la Tanga (Tanga Province).

Wakati nchi yetu inapata Uhuru tarehe 9/12/1961 Mkuu wa jimbo la Kaskazini (Provincial Commissioner) alikuwa Mhe.PC Edward Barongo ambaye aliongoza hadi 1963 na kufuatiwa na Mhe. Peter Kisumo, Mkuu wa Mkoa wa kwanza wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Mkoa wa Kilimanjaro una watu wapatao 1,640,087, ambao ni nguvu kazi muhimu katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Mkoa huu una eneo la kilomita za mraba 13,209, likiwa na rasilimali nyingi za asili na mazingira mazuri ya kilimo.

SOMA PIA: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA KILIMANJARO
Katika muhtasari wa maeneo ya utawala, mkoa huu una halmashauri ambazo zimegawanyika katika mamlaka za miji na wilaya.

Kilimanjaro.PNG

Chanzo: TAMISEMI

MAMLAKA ZA MIJI
Katika mamlaka za miji, kuna Manispaa ya Moshi ambayo ina kata 21 na vitongoji 60.

MAMLAKA ZA WILAYA
Mkoa wa Kilimanjaro una wilaya sita ambazo zina idadi tofauti ya kata, vijiji, na vitongoji.

1. Wilaya ya Hai ina kata 1, vijiji 62, na vitongoji 292.
2. Wilaya ya Siha haina vijiji wala vitongoji, lakini ina kata 1 na vitongoji 17.
3. Wilaya ya Moshi ina kata 1, vijiji 157, na vitongoji 700.
4. Wilaya ya Mwanga ina kata 1, vijiji 72, na vitongoji 282.
5. Wilaya ya Rombo ikiwa na kata 1, vijiji 68, na vitongoji 312.
6. Wilaya ya Same ina kata 1, vijiji 100, na vitongoji 503.

Kwa ujumla, mkoa wa Kilimanjaro una halmashauri tano, ukijumuisha kata 169, mitaa 60, vijiji 519, na vitongoji 2,258.

MAJIMBO YA KIUCHAGUZI
Mkoa wa Kilimanjaro unajumuisha majimbo tisa (9) ya uchaguzi ambayo yanatoa nafasi kwa wananchi kuchagua wawakilishi wao katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania: Jimbo la Moshi Mjini, Jimbo la Moshi Vijijini, Jimbo la Hai, Jimbo la Siha, Jimbo la Mwanga, Jimbo la Rombo, Jimbo la Same Mashariki, Jimbo la Same Magharibi, Jimbo la Vunjo

HALI YA KISIASA
Mkoa wa Kilimanjaro ulikuwa ni miongoni mwa mikoa iliyokuwa inashikiliwa na vyama vya upinzani katika majimbo ya uchaguzi mkoani humo ambapo uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 CHADEMA chini ya mwavuli wa UKAWA (Umoja wa Katiba ya Wananchi) uliohusisha vyama vingine vitatu (3) wakati huo vya CUF, NCCR Mageuzi na NLD, vilishinda majimbo saba 7 kati ya tisa 9 ya mkoa wa Kilimanjaro.

Majimbo yaliyokuwa yakishikiliwa na upinzani ni Same Mashariki, Rombo, Vunjo, Moshi vijijini, Moshi mjini, Hai na Siha, huku CCM ikiambulia majimbo ya Mwanga na Same pekee.

Nguvu hii ya upinzani mkoani humo ilififia kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2019 ambapo wagombea kutoka Chama tawala CCM walipita bila kupingwa kutoka na kuenguliwa kwa wagombea wa vyama vya upinzani kwa madai ya kukosa sifa za kugombea hivyo kupelekea baadhi ya vyama kujiondoa katika uchaguzi huo. Kadhalika, uchaguzi mkuu wa 2020 ambao ulipeleka ushindi mkubwa kwa CCM na kuwaondoa wabunge wa upinzani katika mkoa huo.

Katika kujiimarisha kuelekea katika uchaguzi wa serikali za miataa 2024 na uchaguzi mkuu 2025 vyama vya siasa vimekuwa vikifanya mikutano ya hadhara ili kujiongezea nafasi ya ushindi katika chaguzi hizo.

MATUKIO KUELEKEA NOVEMBA 27
 

HISTORIA FUPI
Mkoa wa Kilimanjaro ulianzishwa rasmi mwaka 1963 kwa Tangazo la serikali Na.450 la mwaka huo ukiwa na wilaya za Kilimanjaro na Pare.

Kabla ya Uhuru Mkoa wa Kilimanjaro ulikuwa ni sehemu ya Jimbo la kaskazini (Nothern Province) lililokuwa linaundwa na wilaya za Arusha na Mbulu, Wakati wilaya ya Pare ilikuwa sehemo ya jimbo la Tanga (Tanga Province).

Wakati nchi yetu inapata Uhuru tarehe 9/12/1961 Mkuu wa jimbo la Kaskazini (Provincial Commissioner) alikuwa Mhe.PC Edward Barongo ambaye aliongoza hadi 1963 na kufuatiwa na Mhe. Peter Kisumo, Mkuu wa Mkoa wa kwanza wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Mkoa wa Kilimanjaro una watu wapatao 1,640,087, ambao ni nguvu kazi muhimu katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Mkoa huu una eneo la kilomita za mraba 13,209, likiwa na rasilimali nyingi za asili na mazingira mazuri ya kilimo.

SOMA PIA: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA KILIMANJARO
Katika muhtasari wa maeneo ya utawala, mkoa huu una halmashauri ambazo zimegawanyika katika mamlaka za miji na wilaya.

View attachment 3108327
Chanzo: TAMISEMI

MAMLAKA ZA MIJI
Katika mamlaka za miji, kuna Manispaa ya Moshi ambayo ina kata 21 na vitongoji 60.

MAMLAKA ZA WILAYA
Mkoa wa Kilimanjaro una wilaya sita ambazo zina idadi tofauti ya kata, vijiji, na vitongoji.

1. Wilaya ya Hai ina kata 1, vijiji 62, na vitongoji 292.
2. Wilaya ya Siha haina vijiji wala vitongoji, lakini ina kata 1 na vitongoji 17.
3. Wilaya ya Moshi ina kata 1, vijiji 157, na vitongoji 700.
4. Wilaya ya Mwanga ina kata 1, vijiji 72, na vitongoji 282.
5. Wilaya ya Rombo ikiwa na kata 1, vijiji 68, na vitongoji 312.
6. Wilaya ya Same ina kata 1, vijiji 100, na vitongoji 503.

Kwa ujumla, mkoa wa Kilimanjaro una halmashauri tano, ukijumuisha kata 169, mitaa 60, vijiji 519, na vitongoji 2,258.

MAJIMBO YA KIUCHAGUZI
Mkoa wa Kilimanjaro unajumuisha majimbo tisa (9) ya uchaguzi ambayo yanatoa nafasi kwa wananchi kuchagua wawakilishi wao katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania: Jimbo la Moshi Mjini, Jimbo la Moshi Vijijini, Jimbo la Hai, Jimbo la Siha, Jimbo la Mwanga, Jimbo la Rombo, Jimbo la Same Mashariki, Jimbo la Same Magharibi, Jimbo la Vunjo

HALI YA KISIASA
Mkoa wa Kilimanjaro ulikuwa ni miongoni mwa mikoa iliyokuwa inashikiliwa na vyama vya upinzani katika majimbo ya uchaguzi mkoani humo ambapo uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 CHADEMA chini ya mwavuli wa UKAWA (Umoja wa Katiba ya Wananchi) uliohusisha vyama vingine vitatu (3) wakati huo vya CUF, NCCR Mageuzi na NLD, vilishinda majimbo saba 7 kati ya tisa 9 ya mkoa wa Kilimanjaro.

Majimbo yaliyokuwa yakishikiliwa na upinzani ni Same Mashariki, Rombo, Vunjo, Moshi vijijini, Moshi mjini, Hai na Siha, huku CCM ikiambulia majimbo ya Mwanga na Same pekee.

Nguvu hii ya upinzani mkoani humo ilififia kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2019 ambapo wagombea kutoka Chama tawala CCM walipita bila kupingwa kutoka na kuenguliwa kwa wagombea wa vyama vya upinzani kwa madai ya kukosa sifa za kugombea hivyo kupelekea baadhi ya vyama kujiondoa katika uchaguzi huo. Kadhalika, uchaguzi mkuu wa 2020 ambao ulipeleka ushindi mkubwa kwa CCM na kuwaondoa wabunge wa upinzani katika mkoa huo.

Katika kujiimarisha kuelekea katika uchaguzi wa serikali za miataa 2024 na uchaguzi mkuu 2025 vyama vya siasa vimekuwa vikifanya mikutano ya hadhara ili kujiongezea nafasi ya ushindi katika chaguzi hizo.

MATUKIO KUELEKEA NOVEMBA 27
Mkuu sahihisha sehemu isemayo 1:Wilaya ya Hai ina Kata moja.
 

HISTORIA FUPI
Mkoa wa Kilimanjaro ulianzishwa rasmi mwaka 1963 kwa Tangazo la serikali Na.450 la mwaka huo ukiwa na wilaya za Kilimanjaro na Pare.

Kabla ya Uhuru Mkoa wa Kilimanjaro ulikuwa ni sehemu ya Jimbo la kaskazini (Nothern Province) lililokuwa linaundwa na wilaya za Arusha na Mbulu, Wakati wilaya ya Pare ilikuwa sehemo ya jimbo la Tanga (Tanga Province).

Wakati nchi yetu inapata Uhuru tarehe 9/12/1961 Mkuu wa jimbo la Kaskazini (Provincial Commissioner) alikuwa Mhe.PC Edward Barongo ambaye aliongoza hadi 1963 na kufuatiwa na Mhe. Peter Kisumo, Mkuu wa Mkoa wa kwanza wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Mkoa wa Kilimanjaro una watu wapatao 1,640,087, ambao ni nguvu kazi muhimu katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Mkoa huu una eneo la kilomita za mraba 13,209, likiwa na rasilimali nyingi za asili na mazingira mazuri ya kilimo.

SOMA PIA: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA KILIMANJARO
Katika muhtasari wa maeneo ya utawala, mkoa huu una halmashauri ambazo zimegawanyika katika mamlaka za miji na wilaya.

View attachment 3108327
Chanzo: TAMISEMI

MAMLAKA ZA MIJI
Katika mamlaka za miji, kuna Manispaa ya Moshi ambayo ina kata 21 na vitongoji 60.

MAMLAKA ZA WILAYA
Mkoa wa Kilimanjaro una wilaya sita ambazo zina idadi tofauti ya kata, vijiji, na vitongoji.

1. Wilaya ya Hai ina kata 1, vijiji 62, na vitongoji 292.
2. Wilaya ya Siha haina vijiji wala vitongoji, lakini ina kata 1 na vitongoji 17.
3. Wilaya ya Moshi ina kata 1, vijiji 157, na vitongoji 700.
4. Wilaya ya Mwanga ina kata 1, vijiji 72, na vitongoji 282.
5. Wilaya ya Rombo ikiwa na kata 1, vijiji 68, na vitongoji 312.
6. Wilaya ya Same ina kata 1, vijiji 100, na vitongoji 503.

Kwa ujumla, mkoa wa Kilimanjaro una halmashauri tano, ukijumuisha kata 169, mitaa 60, vijiji 519, na vitongoji 2,258.

MAJIMBO YA KIUCHAGUZI
Mkoa wa Kilimanjaro unajumuisha majimbo tisa (9) ya uchaguzi ambayo yanatoa nafasi kwa wananchi kuchagua wawakilishi wao katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania: Jimbo la Moshi Mjini, Jimbo la Moshi Vijijini, Jimbo la Hai, Jimbo la Siha, Jimbo la Mwanga, Jimbo la Rombo, Jimbo la Same Mashariki, Jimbo la Same Magharibi, Jimbo la Vunjo

HALI YA KISIASA
Mkoa wa Kilimanjaro ulikuwa ni miongoni mwa mikoa iliyokuwa inashikiliwa na vyama vya upinzani katika majimbo ya uchaguzi mkoani humo ambapo uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 CHADEMA chini ya mwavuli wa UKAWA (Umoja wa Katiba ya Wananchi) uliohusisha vyama vingine vitatu (3) wakati huo vya CUF, NCCR Mageuzi na NLD, vilishinda majimbo saba 7 kati ya tisa 9 ya mkoa wa Kilimanjaro.

Majimbo yaliyokuwa yakishikiliwa na upinzani ni Same Mashariki, Rombo, Vunjo, Moshi vijijini, Moshi mjini, Hai na Siha, huku CCM ikiambulia majimbo ya Mwanga na Same pekee.

Nguvu hii ya upinzani mkoani humo ilififia kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2019 ambapo wagombea kutoka Chama tawala CCM walipita bila kupingwa kutoka na kuenguliwa kwa wagombea wa vyama vya upinzani kwa madai ya kukosa sifa za kugombea hivyo kupelekea baadhi ya vyama kujiondoa katika uchaguzi huo. Kadhalika, uchaguzi mkuu wa 2020 ambao ulipeleka ushindi mkubwa kwa CCM na kuwaondoa wabunge wa upinzani katika mkoa huo.

Katika kujiimarisha kuelekea katika uchaguzi wa serikali za miataa 2024 na uchaguzi mkuu 2025 vyama vya siasa vimekuwa vikifanya mikutano ya hadhara ili kujiongezea nafasi ya ushindi katika chaguzi hizo.

MATUKIO KUELEKEA NOVEMBA 27
Hii taarifa ina makosa mengi...
Hai ina kata 17
Siha kata 17
ROmbo kata 28
Same kata 34
Moshi dc inakata 32
Moshi mc kata 21
Mwanga ina kata 24
Pia mkoa una halmashauri 7 na majimbo 9 ya uchaguzi.
 
Hii taarifa ina makosa mengi...
Hai ina kata 17
Siha kata 17
ROmbo kata 28
Same kata 34
Moshi dc inakata 32
Moshi mc kata 21
Mwanga ina kata 24
Pia mkoa una halmashauri 7 na majimbo 9 ya uchaguzi.
Ni makosa madogo madogo yanarekebishika kama hivyo ukiwa na taarifa iweke.
 
Hii taarifa ina makosa mengi...
Hai ina kata 17
Siha kata 17
ROmbo kata 28
Same kata 34
Moshi dc inakata 32
Moshi mc kata 21
Mwanga ina kata 24
Pia mkoa una halmashauri 7 na majimbo 9 ya uchaguzi.
Wapi hiyo Mkuu
 
Kwa Maafisa Elimu Kata zote, Wakuu wa Shule za Serikali za Msingi na Sekondari, Moshi Manispaa, Kilimanjaro

Mkurugenzi wa Manispaa, Mwajuma Nasombe, kwa mamlaka aliyonayo, anawataka watumishi wote kuchangia fedha kwa ajili ya "Get Together" ya Watumishi Wote wa Moshi Manispaa, ikiwa ni sherehe ya kuukaribisha Mwaka 2025. Sherehe hii itafanyika tarehe 01.02.2025.

Kiwango cha Kuchangia

Wakuu wa Idara na Vitengo, Waratibu Elimu Kata, Wakuu wa Shule za Sekondari, na Walimu Wakuu wa Shule za Msingi: Tsh 50,000/-
Walimu Wote: Tsh 30,000/-
watumishi wengine: Tsh 20,000/-

Mwisho wa kuchangia ni siku ya 26.01.2025 bila kukosa.

Angalizo

Hata hivyo, ni muhimu kuwajulisha watumishi kuhusu baadhi ya masuala yanayohusiana na zoezi hili la kuchangia fedha:

1. Ushirikishwaji: Watumishi wengi hawajashirikishwa kabla ya tangazo hili. Ushirikishwaji wa awali ni muhimu ili kuhakikisha kuwa kila mmoja anafahamu lengo la michango hii.

2. Kamati ya Kuratibu: Hakuna kamati iliyoundwa kwa ajili ya kuratibu zoezi hili. Kukosekana kwa kamati kunaleta hofu miongoni mwa watumishi kuhusu matumizi ya fedha zao.

3. Muda wa Tangazo: Tangazo hili limetolewa muda mfupi sana, kuanzia tarehe 23.01.2025 na mwisho wa kuchangia ni tarehe 25.01.2025. Hii inapunguza nafasi ya watumishi kupanga na kujiandaa kwa michango yao.

4. Mshahara na Madeni: Watumishi wengi wamepokea mshahara wao na tayari wameshatumia kwa kulipa madeni wanayodaiwa. Hali hii inawafanya wengi kuwa na wasiwasi kuhusu kutoa michango zaidi.

5. Kujulishwa kwa Mkuu wa Wilaya: Mkuu wa Wilaya hajajulishwa kuhusu ukusanyaji huu wa fedha za michango, jambo ambalo ni muhimu ili kuweza kufuatilia matumizi ya fedha hizo.

6. *Kuchoshwa na Mkurugenzi:*Watumishi wengi wanasema wanachoshwa na mkurugenzi huyu, kwani mara kwa mara anaitisha michango. Wengi wanahisi kuwa huenda hii ni sehemu ya fedha za kampeni yake kuelekea kwenye uchaguzi wa ubunge.

Ombi

Kwa kuzingatia masuala haya, tunaomba zoezi hili lisitishwe hadi pale ambapo itakapofanyika mabadiliko yanayohitajika ili kuhakikisha kuwa watumishi wanashirikishwa ipasavyo na michango inakusanywa kwa njia ya uwazi na uaminifu.
Hii itasaidia kujenga uhusiano mzuri kati ya watumishi na uongozi wa manispaa.

Tunatumai kuwa maelezo haya yatasaidia katika kueleweka kwa sababu za kutokubali michango hii na kutafutwa kwa suluhisho la kudumu litakalowafaidi watumishi wote wa Moshi Manispaa.

Ahsanteni.
 
Back
Top Bottom