Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
#niffah .... Yani from today mimi ni team kibaaaa...
Hehee watu waacheeee dharau, dharau dharau mbayaaa.. Huu ni mwanzo tu.
Faiza anafanya makusudi ili kupata tension kwa watu au? Siku ile all white party alikuja na Shati tu.Leo kaona isiwe tabu akajitupia vazi hili
View attachment 259953
ujue kuna watu wanajua mziki for real, but wengine ni wataalam wakujishebedua hata kama haimbi kitu ndo maana mwafulan alijua kujulikana kwa kuuza sura kwa p kutaficha ukweli. loooh
Hii siyo photoshop kweli?
Ndicho alichovaa... No photoshop wala nini
Kuna kipindi alisema kuwa ana muda mrefu sana hajafanywa mbele.
Hivi alipataga mtu kweli? Maana hakuleta mrejesho!!
Hii inaweza kuwa side effects ya lile tatizo!:becky:
Umeandika maneno meeeeengi lakini ni pumba tu.Time will tell.. Acha le tamkoz aendelee kuwajaza ujinga. Wakishaona wanashindwa ndio wanaponda tuzo.. Wakishinda aaa swafiii.
Tuzo za watu waliponda mnooo.. Oo BASATA wameruhusu tuzo za kushindanisha bila kutizama utaalamu na bla blaaaa nyingi tu.. Haya na hizi zenye sehemu za utaalamu je?
Waendelee na dharau, halafu watapigiwa kura huko international. Nyumbani ni nyumbani, awali ni awali hakuna awali mbovu, usiache mbachao kwa msala upitao.
Angekupa nafasi ya kumfanya ungekubali??
Mechi za mchangani lazima uvae njumu na
Duh!Angekupa nafasi ya kumfanya ungekubali??
Hivi hana wazazi?
Duh!
Hatuendani kabisa!
Ushawahi kuona mstimu unachomekwa kwenye kinu?:becky::becky: