Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Hapa kuna hujuma.. Mtunzi bora ni Platnumz
kumnyima barnaba ni upumbv
Oyooooooooooooooooo! Wapiiiiiii
King kiba oyooooo 3-2
King kiba oyooooo 3-2
poleeee....
Waimbaji wanatoswa wanapewa matahira.. Kiba na Diamond hawakustahili hata kuingia kwenye hiyo category
kumnyima barnaba ni upumbv
Huyu jamaa mbona anachukua kila mwaka?
Hapa kuna hujuma.. Mtunzi bora ni Platnumz
Huyu jamaa mbona anachukua kila mwaka?