Yaliyojiri Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, kesi ya Mbowe na wenzake 3 - Kesi imeahirishwa hadi Nov. 29 2021

Nacheka vile judj anahangaika kutafuta gaps na kuingilia sn kwenye kila hoja za upande wa utetezi. Yaani hatumii tu neno Objectuon lakini, kinachofanyika ni kama vile refa tutoa penat halafu unataka kufukuA na goli kipa kabisa asikae golini. Sioni akihangaika sn na maelezo ya washtaki.

Pia sijamuelewa anaposema nyie mpo huko, ila mimi nipo huku...'hamjui'.. Sijajua anateseka na kitu gani pale alipokaa. Ni kama ananena kwa lugha.

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Update za jana vipi!!!!??????? au,,,,,,,........
 
Jaji Mkuu ni mteuliwa wa Rais anatakiwa aishi kwa kiapo alichoapa mbele ya Rais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…