Yaliyojiri Mahakama Kuu kesi ndogo ya Mbowe, Superitendent Jumanne Malangahe atoa Ushahidi

Erythrocyte , mwambie Lisu afanye kazi ya kuitangaza hii kesi kwa wadau wa demokrasia ya vyama vingi dunia nzima. Mfano, Hangaya akitoka Msisri, ujumbe wa CDM uende huko huko kumnanga kuwa huyu si mtu when it comes to democracy! and the like

wenzio wanaangalia wanapata nini, ikiwa wanapata wanachotaka basi hayo mambo ya demokrasia kwao ni ujinga pia....kifupi demokrasia ni tool ya kupambania maslahi yao pale yanapominywa...

Misri hawezi kukusikiliza na story za demokrasia wakati anamkono kwenye ujenzi wa bwawa la umeme na kampuni yake ya Elsewedy imepewa eneo kigamboni kujenga kiwanda cha vifaa vya umeme...

refer issue ya MBS wa saudia na kifo cha Khashogi pale uturuki na response ya USA...
 
Mimi nadhani maana ya jaji ni kuwa, kwa kuwa kinachobishaniwa ni ama register ipokelewe au la. Na isipopokelewa Bado shahidi ataendelea na ushahidi wake. Na ikipokelewa Bado ataendelea na ushahidi
 
Hongera mama marehemu
mimi huwa siwapendi watu wahalifu/waovu.
uhalifu/uovu ni kitu kibaya sana.
siko tayari kumtetea au kuwatetea waovu hata ange kuwa ndugu yangu au rafiki yangu, nikigundua ni mhalifu/muovu lazima nikusaliti.
 
mimi huwa siwapendi watu wahalifu/waovu.
uhalifu/uovu ni kitu kibaya sana.
siko tayari kumtetea au kuwatetea waovu hata ange kuwa ndugu yangu au rafiki yangu, nikigundua ni mhalifu/muovu lazima nikusaliti.
Sasa sindio usubiri mahakama iamue kamakweli ni muovu ama vipi, kwanini kumchukia kwasababu ya tuhuma tu.
 
Mie sikubaliani na mpiga picha umejipigia tuu..Napinga upigaji picha huu humu
 
Africa kuna kazi kubwa sana, kesi ndogo na kesi kubwa ni upuuzi gani huo na inaahirishwa kila siku.
Hii lazyness idea mtaacha lini??
wenzetu huko ni siku moja tu mawakili wote wapo majudge wote wapo.
kesi inapigwa saa 1 tu hukumu inatolewa.
milango imefungwa hakuna wasikilizaji.
hapo bongo mara watu wanaulizana habari ya kunywa soda na nyamachoma mara mbege mara kesi ndogo mara pingamizi sijui upuuzi gani.
then mnawaita mawakili wasomi?
Wtf is that.?
kesi ya kipumbavu kabisa imeahirishwa daily miezi miwili sasa.
muacheni Mbowe kama hana kosa
ana kosa tambaeni nae mbele.
Ujinga huu na kuna mijitu inashinda mahakamani daily kusikiliza.
hamna kazi za kufanya?
 
Shahidi mwenyewe jambazi sugu arumeru yote wanalijua,hapo alipo anakesi 2 za jinai
 
Mimi nadhani maana ya jaji ni kuwa, kwa kuwa kinachobishaniwa ni ama register ipokelewe au la. Na isipopokelewa Bado shahidi ataendelea na ushahidi wake. Na ikipokelewa Bado ataendelea na ushahidi
Hakuna Jaji hapo!!! Kuna kada wa Ccm ana pambana na Chadema. Kama mtoa haki alitoa hiyo kauli ili iweje??
Ana takiwa kuwa neutral. Ila hadi sasa ana onekana kuwa wakili wa serikali na sio Jaji. Usimlishe maneno. This judge is another Luvanda. Huenda nae ana taka uteuzi wa kuhongwa kama mwenzake. Hatuta kubali...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…