Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Sostenes Swila kuendelea kutoa ushahidi wake Februari 08/2022

Kumbe hii kesi wanajaribu kumwondoa Urio. Halafu Akina Khalidi, Kaaya na Gabriel Muhina wakfutiwa kesi baada ya kumaliza mchezo??
 
Kesi ililpikwa vibaya mpaka inakera. Risasi tatu zilikamatwa Pale Rau zikiwa nzima lakini mpaka zinafika Dar kwa Swila mbili zilitumika. Ikabaki moja. Sasa hao watuhumiwa walizitumiaje wakati walishang'anganywa?
 
Kesi ililpikwa vibaya mpaka inakera. Risasi tatu zilikamatwa Pale Rau zikiwa nzima lakini mpaka zinafika Dar kwa Swila mbili zilitumika. Ikabaki moja. Sasa hao watuhumiwa walizitumiaje wakati walishang'anganywa?
Mkuu- Sifa ya uongo ni kukosa kumbukumbu- risasi mbili zilitumiwa na mataalam wa milipuko aliyekuwa anajaribu kuona kama hiyo silaha ni nzima na alishatoa ushahidi huo mahakamani
 
DPP kakimbia kaacha vumbi tuuu, mapolisi waliomba kwenye haja kubwa bila aibu kwenye huu music
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…