mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,089
Leo tena uwanja wa Taifa kutakuwa na mpambano wa kukatana shoka kati ya Simba SC vs Mtibwa suger.
Mpambano huo utakuwa muhimu sana kwa kila timu, kwani timu zote zitakuwa zinasaka point 3 ili kujiweka katika mazingira mazuri katika msimamo wa ligi.
Naitakia Mtibwa ushindi mnono katika mchezo wa leo.
FULL TIME SIMBA 1-0 MTIBWA. mfungaji Emanuel Okwi dakika ya 90.
Hongereni simba kwa ushindi.
Mpambano huo utakuwa muhimu sana kwa kila timu, kwani timu zote zitakuwa zinasaka point 3 ili kujiweka katika mazingira mazuri katika msimamo wa ligi.
Naitakia Mtibwa ushindi mnono katika mchezo wa leo.
FULL TIME SIMBA 1-0 MTIBWA. mfungaji Emanuel Okwi dakika ya 90.
Hongereni simba kwa ushindi.