leo jukwaa limedolola sana
Leo tena uwanja wa Taifa kutakuwa na mpambano wa kukatana shoka kati ya Simba SC vs Mtibwa suger.
Mpambano huo utakuwa muhimu sana kwa kila timu, kwani timu zote zitakuwa zinasaka point 3 ili kujiweka katika mazingira mazuri katika msimamo wa ligi.
Naitakia Mtibwa ushindi mnono katika mchezo wa leo.
Kombe gani hilo mkuu? Sisi simba tulishachukua kombe la VPL juzi