Yaliyojiri mechi ya Yanga SC vs Azam FC - Ngao ya Jamii

au Manji kauza mechi mana bakhressa muarabu Manji mhindi wote wamoja
 
Ivi pale dimbwini leo maji yamekauka? Maana machura yameacha kukoroma ghafla.
 
Maskini watu wamekimbia uzi wao, siku zote mwanamke ndio waga anatangulia gust house
 
Yanga si timau bora hata kidogo,walicheza na mediama wakasomwa na kupigwa.Leo muhispania kawasoma na kuwapiga pia.
 
hahahahahha et wanajiita wa kimataifaa......ivi ni ni wakimataifa au wakimaafa mana aya yaliyotokea leo ni maafa jangwani na bado ngoja ligi ianze msimbazi sisi ni kutoa dozi tu
 
Hahaha wanaume gani mnaolambishwa Icecream...
si ndo apo mana icecream tushazoea wananyonyeshwa watoto wa kike hahahahhahah jamani leo siku yangu imejaaa furahaa tele uwiiiiii hahahhhahahhahahahhahahahhaha
 
hahahahahha et wanajiita wa kimataifaa......ivi ni ni wakimataifa au wakimaafa mana aya yaliyotokea leo ni maafa jangwani na bado ngoja ligi ianze msimbazi sisi ni kutoa dozi tu

5 years now ,same story ngoja ligi ianze
 
Asanteni kwa kulamba koni zetu mkawasimulie na mwenzenu Simba..mnatangulia Stendi huku mkijua Bocco Kashika nauli zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…