Yaliyojiri mechi ya Yanga SC vs Azam FC - Ngao ya Jamii

Yeboyebo aka Skentait wanaingia leo kukipiga na watoto wa mjini Azam fc aka wenye pesa
 
KIKOSI CHA YANGA:
Deogratius Munishi ‘Dida’, Hassan Kessy, Haji Mwinyi, Mbuyu Twite, Vincent Bossou, Said Juma, Juma Mahadhi, Thaban Kamusoko, Amissi Tambwe, Donald Ngoma na Haruna Niyonzima

Waliopo benchi ni: Benno Kakolanya, Oscar Joshua, Deus Kaseke, Simon Msuva, Malimi Busungu, Matheo Anthony, Pato Ngonyani.
 
KIKOSI CHA AZAM FC:
Aishi Manula, Ismail Adam, Bruce Kangwa, David Mwantika, Himid Mao, Jean Mugiraneza, Shomari Kapombe, Salum Kabubakar 'Sure Boy', John Bocco, Shaban Chilunda na Ramadhani Singano.

Idadi ya mashabiki ni kubwa na taratibu wanaendelea kuongezeka.




Azam wakiwasili Uwanja wa Taifa.
 
Mwenye uhakika basi atujuze mechi inaonyeshwa channel gan?
 
Vp game ishaanza?
####teamazam#####
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…