Uchaguzi 2020 Yaliyojiri mkutano wa kampeni za mgombea wa CCM Dkt. Magufuli akiwa Biharamulo, Kagera

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Hii hapa live Dkt. Magufuli akiwa Biharamulo akitokea Kagera alikomaliza kampeni muda si mrefu.

Live hii hapa
 
Nimeamua kukaa huku pembezoni ili wakiliamsha kama kule Bukoba nisepe nisijekuingia kwenye karamu isiyonihusu.
 
Haya wana Bukoba fiesta hilo la bure ...jimwageni ila moyoni mnamjua Rais wenu wa moyoni ni nani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…