Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Wachezaji wa Yanga watakaoanza ni;
1. Ally Mustapha
2. Mbuyu Twit
3. Haji Mwinyi
4. Kelvin Yondani
5. Vicent Bossou
6. Pato Ngonyani
7. Haruna Niyonzima
8. Thabani Kamusoko
9. Donald Ngoma
10. Amisi Tambwe
11. Deus Kaseke
Wachezaji wa APR watakaoanza ni;
1. Jean Claude Ndoli
2.Rusheshangoga Michael
3.Rutanga Eric
4.Rwatubyaye Abdul
5.Bayisenge Emiry
6.Yannick Mukunzi
7.Fiston Nkinzingabo
8.Benedata Jamvier
9.Bigirimana Issa
10.Iranzi Jean Claude
11.Sibomana Patrick
SUB
Kwizera Olivier
Rwigema Yves
Usengimana Faustin
Nshutinamagara Ismael
Djihad Bizimana
Betrand Iradukunda
Ntamuhanga Tumaini
Dk 2, Twite anakwenda kurusha mpira vizuri kabisa lakini Mukunzi anaugonga na kuwa kona inachongwa na Kaseke lakini Ndoli anadaka vizuri kabisa
GOOOOOOOOO Dk 3, Fiston Nkinzingabo anaunganisha krosi nzuri kabisa ya Rutanga Eric na mpira unajaa wavuni vizuri kabisa kwa ulainiii
KADI Dk 5, Niyomzima analambwa kadi ya njano kwa kumuangusha Rusheshangoga
Dk 7, Sibomana nusura afunge tena baada ya mbeki wa Yanga kujichanganya na Bossou anaonekana kulalama
Dk 8, hadi sasa Yanga hawajafanya la maana, wanaonekana kucheza kwa kubutua na hawajiamini au walioanza bila ya mipango na wanatakiwa kutulia
Dk 9, Tambwe anapoteza nafasi ya kwanza ya Yanga, aliunganisha mpira kabisa wa Twite lakini akashindwa kulenga lango.
Dk 11, Ndoli anaonyesha ujuzi kwa kudaka shuti la Tambwe aliyekuwa katika nafasi nzuri
Dk 14, Yanga wanapata kona, inachongwa na Niyinzoma na Kaseke anauwahi mpira na kumkuta Mwinyi lakini anakuwa si makini katika umaliziaji
Dk 14, mpira safi wa adhabu unachongwa na Bayisenge lakini Barthez anadaka vizuri
Dk 20, mashabiki zaidi ya 25,000 waliojitokeza kwenye Uwanja wa Taifa wanaonekana kuwa kimya kabisa kwa kuwa Yanga haijaonyesha soka zuri na APR ndiyo wanaonekana kushambulia zaidiDk 16, Bossou analazimika kutoa mpira na kuwa kona baada ya Benedata Jamvier kuingia vizuri. Iranzi anachonga kona lakini haina madhara kwenye lango la Yanga
Dk 22, Niyonzima anapiga krosi safi kabisa, Kamusoko anagonga kichwa, mpira unagonga mwamba na kurudi uwanjani, Ndoli anaudaka vizuri kabisa
Dk 23 hadi 26, APR wanaonekana kutulia zaidi na kucheza vizuri wakiwapa Yanga wakati mgumu
Dk 30, beki Lutanga wa APR analazimika kumwagusha Ngoma aliyekuwa amemtoka. Faulo ni nje kidogo ya 18
GOOOOOOOO Dk 28 Ngoma anampiga chenga
Rutanga Eric na kupiga shuti kali la chinichini ambalo linamzidi Ndoli na kujaa chini
Dk 31 hadi 36, mpira zaidi unachezwa katikati ya uwanja huku APR wengi zaidi wakiwa nyuma kuhakikisha hawafanyi makosa tena
Dk 35, APR wanagongeana vizuri lakini Bossou anatibua hesabu zao na kuutoa mpira. Unakua wa kurushwa, unamkuta Iranzi, anapiga shuti kali kabisa lakini hakulenga lango
Dk 43, Kipa Ndoli anafanya kazi nzuri ya kuuwahi mpira miguuni mwa Tambwe. Kama angechelewa kutoka mapema ingekuwa habari nyingine kabisa
Dk 45, Kakusoko anachonga mpira wa faulo, hatariiiiii, mpira unapita juu kidogo ya lango la APR
Dk 44 hadi 45, APR wengi wanaonekana kurudi nyuma na zaidi wanajilinda kama vile sare kwao inawafaa zaidi
MPIRA NI MAPUMZIKO
SUB Dk 46, APR wanamtoa mfungaji Fiston Nkinzingabo anaingia Jihadi Bizmana
Dk 46, mpira kipindi cha pili umeanza na kama kawaida, unaanza kwa kasi ya taratibu kabisa
KADI Dk 52 Tambwe analambwa kadi ya njano kwa kumzuia kipa wa APR kupiga mpira
Dk 54, Yanga wanagongeana vizuri. Hata hivyo bado ile hali ya timu kutaka bao si kubwa sana na zaidi ni ule mpira wa kugongeana
SUB DK 60 Anaingia Msuva kuchukua nafasi ya Haruna Niyonzima aliyekuwa nahodha wa leo. Anampa Bossou kitambaa cha unahodha
Dk 63 hadi 66, mpira unaendelea kuchezwa katikati ya uwanja. Yanga wanaonekana kama wameridhika pia na sare hiyo
SUB Dk 69 Kaseke aliyeumia, anatolewa akiwa amebebwa kwenye machela na nafasi yake inachukuliwa na Geofrey Mwashiuya
SUB Dk 82,anatoka Benedata Jamvier kwa upande wa APR na nafasi yake inachukuliwa na Betrand Iradukunda
Dk 90, APR wanaendelea kugongeana tena, Iranzi anapiga krosi nzuri lakini MWinyi anauwahi mpira na kumpa Mwinyi anayeokoa na kumpa MWashiuya lakini anafanya bla bla kwa kushindwa kumpa pasi nzuri Ngoma
ZINAONGEZWA DAKIKA 4
Yanga wanapoteza nafasi nyingine ya kufunga bao, Mwinyi akiwa katika nafasi nzuri lakini hakuangalia lango na Mpira unakwishaaaa....!!!
Yanga Afrika 1 - 1 APR
Yanga inasonga kwa kwa Yanga 3 - 2 APR
1. Ally Mustapha
2. Mbuyu Twit
3. Haji Mwinyi
4. Kelvin Yondani
5. Vicent Bossou
6. Pato Ngonyani
7. Haruna Niyonzima
8. Thabani Kamusoko
9. Donald Ngoma
10. Amisi Tambwe
11. Deus Kaseke
Wachezaji wa APR watakaoanza ni;
1. Jean Claude Ndoli
2.Rusheshangoga Michael
3.Rutanga Eric
4.Rwatubyaye Abdul
5.Bayisenge Emiry
6.Yannick Mukunzi
7.Fiston Nkinzingabo
8.Benedata Jamvier
9.Bigirimana Issa
10.Iranzi Jean Claude
11.Sibomana Patrick
SUB
Kwizera Olivier
Rwigema Yves
Usengimana Faustin
Nshutinamagara Ismael
Djihad Bizimana
Betrand Iradukunda
Ntamuhanga Tumaini
Dk 2, Twite anakwenda kurusha mpira vizuri kabisa lakini Mukunzi anaugonga na kuwa kona inachongwa na Kaseke lakini Ndoli anadaka vizuri kabisa
GOOOOOOOOO Dk 3, Fiston Nkinzingabo anaunganisha krosi nzuri kabisa ya Rutanga Eric na mpira unajaa wavuni vizuri kabisa kwa ulainiii
KADI Dk 5, Niyomzima analambwa kadi ya njano kwa kumuangusha Rusheshangoga
Dk 7, Sibomana nusura afunge tena baada ya mbeki wa Yanga kujichanganya na Bossou anaonekana kulalama
Dk 8, hadi sasa Yanga hawajafanya la maana, wanaonekana kucheza kwa kubutua na hawajiamini au walioanza bila ya mipango na wanatakiwa kutulia
Dk 9, Tambwe anapoteza nafasi ya kwanza ya Yanga, aliunganisha mpira kabisa wa Twite lakini akashindwa kulenga lango.
Dk 11, Ndoli anaonyesha ujuzi kwa kudaka shuti la Tambwe aliyekuwa katika nafasi nzuri
Dk 14, Yanga wanapata kona, inachongwa na Niyinzoma na Kaseke anauwahi mpira na kumkuta Mwinyi lakini anakuwa si makini katika umaliziaji
Dk 14, mpira safi wa adhabu unachongwa na Bayisenge lakini Barthez anadaka vizuri
Dk 20, mashabiki zaidi ya 25,000 waliojitokeza kwenye Uwanja wa Taifa wanaonekana kuwa kimya kabisa kwa kuwa Yanga haijaonyesha soka zuri na APR ndiyo wanaonekana kushambulia zaidiDk 16, Bossou analazimika kutoa mpira na kuwa kona baada ya Benedata Jamvier kuingia vizuri. Iranzi anachonga kona lakini haina madhara kwenye lango la Yanga
Dk 22, Niyonzima anapiga krosi safi kabisa, Kamusoko anagonga kichwa, mpira unagonga mwamba na kurudi uwanjani, Ndoli anaudaka vizuri kabisa
Dk 23 hadi 26, APR wanaonekana kutulia zaidi na kucheza vizuri wakiwapa Yanga wakati mgumu
Dk 30, beki Lutanga wa APR analazimika kumwagusha Ngoma aliyekuwa amemtoka. Faulo ni nje kidogo ya 18
GOOOOOOOO Dk 28 Ngoma anampiga chenga
Rutanga Eric na kupiga shuti kali la chinichini ambalo linamzidi Ndoli na kujaa chini
Dk 31 hadi 36, mpira zaidi unachezwa katikati ya uwanja huku APR wengi zaidi wakiwa nyuma kuhakikisha hawafanyi makosa tena
Dk 35, APR wanagongeana vizuri lakini Bossou anatibua hesabu zao na kuutoa mpira. Unakua wa kurushwa, unamkuta Iranzi, anapiga shuti kali kabisa lakini hakulenga lango
Dk 43, Kipa Ndoli anafanya kazi nzuri ya kuuwahi mpira miguuni mwa Tambwe. Kama angechelewa kutoka mapema ingekuwa habari nyingine kabisa
Dk 45, Kakusoko anachonga mpira wa faulo, hatariiiiii, mpira unapita juu kidogo ya lango la APR
Dk 44 hadi 45, APR wengi wanaonekana kurudi nyuma na zaidi wanajilinda kama vile sare kwao inawafaa zaidi
MPIRA NI MAPUMZIKO
SUB Dk 46, APR wanamtoa mfungaji Fiston Nkinzingabo anaingia Jihadi Bizmana
Dk 46, mpira kipindi cha pili umeanza na kama kawaida, unaanza kwa kasi ya taratibu kabisa
KADI Dk 52 Tambwe analambwa kadi ya njano kwa kumzuia kipa wa APR kupiga mpira
Dk 54, Yanga wanagongeana vizuri. Hata hivyo bado ile hali ya timu kutaka bao si kubwa sana na zaidi ni ule mpira wa kugongeana
SUB DK 60 Anaingia Msuva kuchukua nafasi ya Haruna Niyonzima aliyekuwa nahodha wa leo. Anampa Bossou kitambaa cha unahodha
Dk 63 hadi 66, mpira unaendelea kuchezwa katikati ya uwanja. Yanga wanaonekana kama wameridhika pia na sare hiyo
SUB Dk 69 Kaseke aliyeumia, anatolewa akiwa amebebwa kwenye machela na nafasi yake inachukuliwa na Geofrey Mwashiuya
SUB Dk 82,anatoka Benedata Jamvier kwa upande wa APR na nafasi yake inachukuliwa na Betrand Iradukunda
Dk 90, APR wanaendelea kugongeana tena, Iranzi anapiga krosi nzuri lakini MWinyi anauwahi mpira na kumpa Mwinyi anayeokoa na kumpa MWashiuya lakini anafanya bla bla kwa kushindwa kumpa pasi nzuri Ngoma
ZINAONGEZWA DAKIKA 4
Yanga wanapoteza nafasi nyingine ya kufunga bao, Mwinyi akiwa katika nafasi nzuri lakini hakuangalia lango na Mpira unakwishaaaa....!!!
Yanga Afrika 1 - 1 APR
Yanga inasonga kwa kwa Yanga 3 - 2 APR