Engineer Hassan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 477
- 504
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaaaaaaa jingalao huku mpirani tu ndipo ulipo na akili [emoji4]
Usihofu. Game ya Yanga hiiMojawapo kati ya game ngumu ni hii ya leo,naweza kusema pasi na shaka Tanzania ktk ulimwengu wa soka leo imesimama.
Mungu ibarik Yanga,Amen.
Nitakuwepo hapa kutupia updates,here we go.
Hahahaaa ingekuwa kule kwenye siasa angeshachafua halo ya hewa!Hahahaaaaaaa jingalao huku mpirani tu ndipo ulipo na akili [emoji4]
Acha fujo bhanaTanzania hakuna mpira. Hivyo mnajipotezea muda kufatilia mipira ambayo imeshachezwa mezani
Hahahaaaaaa mkuu enzi hizo sikuwepo [emoji85]Ha ha ha...hata huku naweza kukinukisha...unakumbuka ushangiliaji wetu wana yanga miaka ya 80-90??
Acha fujo bhanaTanzania hakuna mpira. Hivyo mnajipotezea muda kufatilia mipira ambayo imeshachezwa mezani
Hawana lolote mkuu,hawa wepesi sana bora Kagera tulikuwa na pressure dakika zote 90.Ubingwa lazima tuwe pamoja mkuu. hawa maandamano fc wataisoma namba sana tu.
Ila hawa watoto wanakomaa kweli eti.
Kivipi mkuu?Mmmhhh!!![emoji125] [emoji125] [emoji125] msije mkapotea kwenye miji ya watu tena
Yaani kabla watani hawajaja na kidedea sisi tulikuwa tunashangilia CCM CCM CCM CCM...!!Ulikuwa ukisikiliza kwenye radio na kudikio hiyo kelele ya CCM CCM CCM basi ujue Yanga katupia.Hahahaaaaaa mkuu enzi hizo sikuwepo [emoji85]
Nimeanza kuishangilia Yanga nikiwa std 1 mwaka 2000!
Mimi ni shabiki,mpenzi wa Young Africans S.C Ningeweza kukaa kimya,ila nimekuambia ili kuweka kumbukumbu sawa.Kumbe jf amnaga mashabiki wa vyura fc.
Ata nifah ni mtangazaji na cyo shabiki
Hahahahaha. Kagera walinitesa kweli yani. Niliamua kuacha kufuatilia matokeo hadi kipindi cha michezo efmHawana lolote mkuu,hawa wepesi sana bora Kagera tulikuwa na pressure dakika zote 90.
Wacheze vzr wakati washakula fweza?...Miamala FC mmeanza kuhangaika sasa,hao Mbeya City hawaeleweki wanafanya nini uwanjani.
Wanacheza hovyohovyo.
Sawa kama umejiweka wazi.Mimi ni shabiki,mpenzi wa Young Africans S.C Ningeweza kukaa kimya,ila nimekuambia ili kuweka kumbukumbu sawa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wacheze vzr wakati washakula fweza?...