Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Naona sasa hivi wamerejea kwa nguvu zote............Mashabiki maandazi
Naona sasa hivi wamerejea kwa nguvu zote............Mashabiki maandazi
Hapo uzembe mkubwa sana Yanga. Hakuna cha Kibadeni wala chochote. Ni uzembe kuachia match iishe kijinga jinga namna hiyo
Kitenge mwenyewe haamini yanayotokea, anakwambia Kocha wa Yanga naye ameingia kwenye mtego wa mashabiki wa kuona walivyoongoza tatu bila wakaona wamemaliza kila kitu walisahau kwamba mpira ni dakika 90.
rehani wapi,bado sanawakati ndio mnazidi kuweka uongozi wa ligi rehani sasa...