Inawezekana!Haiwezekani.
Hahahaha!KIKOSI CHA MAUAJI HII LEO UKIPENDA KIITE DORIA 7:
1.Ally Mustapha 'Barthez' - 1
2.Mbuyu Twite - 6
3.David Luhende - 3
4.Nadir Haroub 'Cannavaro' - 23
5.Kelvin Yondani 'Cotton' - 5
6.Athuman Idd 'Chuji' - 24
7.Haruna Niyonzima - 8
8.Frank Domayo 'Chumvi' - 18
9.Didier Kavumbagu - 7
10.Mrisho Ngassa - 17
11.Hamis Kiiza - 20
Subs:
1.Deogratius Munishi 'Dida' - 30
2.Juma Abdul - 12
3.Oscar Joshua - 4
4.Rajab Zahir - 14
5.Saimon Msuva - 27
6.Nizar Khalfani - 16
7.Jerson Tegete - 10
Kikosi cha ushindi kabisa
hiki, maana naona Issa Rashid, Amri Kiemba na Zahoro Pazi wataingia
kumalizia kazi ambayo iatkuwa imeanzishwa na Singano, Chanongo na
Tambwe.
Azam TV wanaptikana chanel gani DSTV?
Endelea kuona hivyo hivyo...
Nasikia eti Ngassa hajawahi kuifunga Simba wakati akiwa Yanga na pia Yanga haijawahi kusinda kaitaba kwa kipindi cha miaka10...........................
Ushauri wa bure
kwa TFF. Inapotokea mpambano wa Simba na Yanga, zisiwepo tiketi za buku
tano. Ziwe buku ishirini! Watu watajua kima cha chini ni buku ishirini.
Hizo za buku tano zinazouzwa buku ishirini leo, wanaweza kutokea wababe
wakagoma kulipa na kusababisha ugomvi, vurugu mtafaruku na sintofahamu!
Maana zimeandikwa buku tano! Zinauzwa buku ishirini! Ugomvi utaanzia
hapo. Halafu keshokutwa mnataka kwenye uchaguzi mchaguliwe kwa miaka
mingine minne muendelee kuwaibia wadanganyika? Dawa yenu inachemka TFF,
kesho nadamkia kwa JK kuwachomea! Mkapa hakuwajengea uwanja mtuibie!
Wezi wakubwa ninyi!
KIKOSI CHA MAUAJI HII LEO UKIPENDA KIITE DORIA 7:
1.Ally Mustapha 'Barthez' - 1
2.Mbuyu Twite - 6
3.David Luhende - 3
4.Nadir Haroub 'Cannavaro' - 23
5.Kelvin Yondani 'Cotton' - 5
6.Athuman Idd 'Chuji' - 24
7.Haruna Niyonzima - 8
8.Frank Domayo 'Chumvi' - 18
9.Didier Kavumbagu - 7
10.Mrisho Ngassa - 17
11.Hamis Kiiza - 20
Subs:
1.Deogratius Munishi 'Dida' - 30
2.Juma Abdul - 12
3.Oscar Joshua - 4
4.Rajab Zahir - 14
5.Saimon Msuva - 27
6.Nizar Khalfani - 16
7.Jerson Tegete - 10
Mkuu saa 12:00 sio mbali tutajua mbivu na mbichi.
I mean online streaming mkuu mbona miss tz mlituonyesha?Sogea tbc1 wataonesha, na pia nasikia SS3 wataonesha.
Wapo TBC1 MKUU
FC LUNYASI "LION KING" MNYAMA
KIKOSI cha Simba dhidi ya Yanga
1. Abel Dhaira
2. Nassoro Masoud
3. Haruna Shamte
4. Gilbert Kaze
5. Joseph Owino
6. Jonas Mkude
7. Ramadhan Singano
8. Abdulhalim Humud
9. Betram Mwombeki
10. Amisi Tambwe
11. Haruni Chanongo
SUBS:
1. Abuu Hashim
2. Hassan Khatib
3. Issa Rashid.
4. Zahoro Pazi
5. Amri Kiemba
6. Said Hamisi
7. William Lucian
Yanga anachomoka vipi hapa
Kuna jamaa kaweka angalia post za nyuma.I mean online streaming mkuu mbona miss tz mlituonyesha?