Ndugu wapendwa leo hii ...nimefurahi sana kuona wabunge wa CCM wanasimamisha budjet ya wizara ya miundo mbinu kana kwamba ni sinema ya alinacha....nimewiwa leo hii kusema yaliyotokea kwa waziri kawambwa iwe ni sehemu tu ya somo kwa RAIS jakaya mrisho KIKWETE kwa kuchagua watu kuhodhi madaraka makubwa yaliyo juu ya uwezo wao just sababu ni ndugu ama mjomba/rafiki shemeji/ama mates wa shule kama nilivyosikiwa walivyojazana kwenye wizara
Kuna wakati mwingine unaweza fikiria RAIS anapochagua anakuwa anachaguliwa na mkewe ama anakuwa kaamaka usingizini na kutoa majina...siitaji kutaja rundo la binadamu na maswahiba wa rais kikwete walioshika uongozi wa juu kama mawaziri na kwingineko....
Kawambwa ni mtu mmoja mzuri ila nilipenda na ntaendelea kusema kuna wizaraa inabidi ziongozwe na watu proffessional else madhara yake ni makubwa mno mno....mmeona kitendo cha kumuweka swahiba wake mkulo kwenye wizara ya fedha anaamua kutoa fedha ovyo hata kama bunge alijapitisha.......akuna ubishi kama kuna bajeti inayotalkkiwa kulaaniwa ni hii ya wizara ya miundo mbinu/tatizo moja na ambalo ndugu yetu amekumbana nalo...ni kwamba kawambwa ana mchezo wa kuwaamini watu na kutofwatilia jambo ndio maana mwisho wa siku anakutana na upuuzi kwenye maswala nyeti kama bajet....hakuna ubishi mmeona upuuzi alioufanya kwa kumchagua WAZIRI CHENGE KUONGOZA WIZARA HII..
kisa tu anajua upuuzi wote wa mikataba michafu na pesa walizochota EPA..matatizo mengi yanaitaji kuangaliwa mifano ni kama ifuatavyo
ATCL
Shirika hili limekuwa likifwanywa kama mchezo wa kidalipo kila mwenye kuchuma achume haraka na kuondoka...mwanzoni nilihisi kama serikali na rais wake wameamua kulitupa nikaona akapita mwandosya akala na nsouthafrican airways akapelekewa wanae south kwa bil ya SAA..baadae akapewa jukumu hilo chenge;nae akaiba akajikimbilia...akaletwa mjomba...mara akapewa ukurugenzi swahiba ama mates chumba kimoja jamani??leo hii mates kaaribu kammkibizia N.I.C ati akalifufue.....mi bado nina wasiwasi na RAIS.....Leo hii waziri husika analitengea shirika la TALC BILLION MOJA kwenye budget,jamani watanzania inatuingia akilini huyu kweli ni waziri ama is he serious na kazi zake????
TRL
HIILI NI VITUKO NAOMBA NIANDIKE KWA HERUFI KUBWA;HII KAMPUNI IMEBINAFSISHWA NA WAHINDI WALIOLETWA NA JEETU PATEL MKONO KWA MKONO KWA RAIS WETU KIKWETE....WAKAAHIDI MENGI TU...GAFLA TUKAAMBIWA WANACHUKUA VYUMA AMA ENGINE ZETU WALIZOZINUNU NYERERE ...ATI WANAPELEKA INDIA...BAADA YUA HAPO MNA TAARIFA WAMELETA ENGINE 25 AMBAZO ZIMEFUNGWA 15 NA KATI YA HIZO KILA MOJA TUNALIPIA LAKI NANE KWA SIKU....800,000....SIDHANI KAMA HUYU WAZIRI ANAIPENDA HII WIZARA YAKE...JAMANI.SAMAHANI KWA HILO....UKIACHA HILO ATCL HAINA HATA MTU WA KUWABEBA AMEENDA KUIPA TRL SH BILLION 80 KWENYE BAJETI....HIZI ZOTE NI KWA AJILI YA UCHAGUZI WANATUFANYA WAPUMBAVU...WATANZANIA TUAMKE TUACHANE NA UPUUUZI
TUME YA ATCL
NDUGU WAPENDWA ATCL ILIUNDIWA TUME ILIOONGOZWA NA MAPROFESA NA WENGI WAKALALAMIKA MAGAZETI WAKAANDIKA WANAYOWEZA .....MWISHO ILE TUME WAMETUMIA MILION 47,KWA MUDA WALIOPEWA HALAFU KILA MWANAKAMATI AKATUNUKIWA LAPTOP MPYA UKIACHA ZILE PER DIEM ZA KILA SIKU NA OVERTYM...
MWISHO WAMEKABIDHI MH WAZIRI AKADAI ANASUBIRI AKIKABIDHIWA ANAWATANGAZIA WANANCHI SABABU ZA KUSIMAMISHA SAFARI ZA ATCL;ALIPOKABIDHIWA AKALIPELEKA KWENYE DROO ZA OFISI ZAKE PALE UJENZI NA KUFUNGA DROO......ALIPOBANWA SANA AKADAI ANAMSUBIRI MWENYEKITI WA BODI ,YALIPOTOLEWA MAJIBU YA MWENYEKITI WA BODI HAKUNA KILICHOFANYIKA MPAKA SASA .......HUU NI UPUUUZI KABISA HATUYITAJI KUWA NA MAWAZIRI WA KUJUANA KWENYE OFSI NYETI KAMA HIZI LEO HII WANAOLITAFUNA TRL NA ATCL NI WALELWALE NA WANAENDELEA NA MBINU ZAO CHAFU....HATUJUI LAKINI IPO SIKU WANANCHI WATASEMA BASIIIIIIIIIIIIIIII IMETOSHA
KILA LA KHERI KAWAMBWA.......
Kuna wakati mwingine unaweza fikiria RAIS anapochagua anakuwa anachaguliwa na mkewe ama anakuwa kaamaka usingizini na kutoa majina...siitaji kutaja rundo la binadamu na maswahiba wa rais kikwete walioshika uongozi wa juu kama mawaziri na kwingineko....
Kawambwa ni mtu mmoja mzuri ila nilipenda na ntaendelea kusema kuna wizaraa inabidi ziongozwe na watu proffessional else madhara yake ni makubwa mno mno....mmeona kitendo cha kumuweka swahiba wake mkulo kwenye wizara ya fedha anaamua kutoa fedha ovyo hata kama bunge alijapitisha.......akuna ubishi kama kuna bajeti inayotalkkiwa kulaaniwa ni hii ya wizara ya miundo mbinu/tatizo moja na ambalo ndugu yetu amekumbana nalo...ni kwamba kawambwa ana mchezo wa kuwaamini watu na kutofwatilia jambo ndio maana mwisho wa siku anakutana na upuuzi kwenye maswala nyeti kama bajet....hakuna ubishi mmeona upuuzi alioufanya kwa kumchagua WAZIRI CHENGE KUONGOZA WIZARA HII..
kisa tu anajua upuuzi wote wa mikataba michafu na pesa walizochota EPA..matatizo mengi yanaitaji kuangaliwa mifano ni kama ifuatavyo
ATCL
Shirika hili limekuwa likifwanywa kama mchezo wa kidalipo kila mwenye kuchuma achume haraka na kuondoka...mwanzoni nilihisi kama serikali na rais wake wameamua kulitupa nikaona akapita mwandosya akala na nsouthafrican airways akapelekewa wanae south kwa bil ya SAA..baadae akapewa jukumu hilo chenge;nae akaiba akajikimbilia...akaletwa mjomba...mara akapewa ukurugenzi swahiba ama mates chumba kimoja jamani??leo hii mates kaaribu kammkibizia N.I.C ati akalifufue.....mi bado nina wasiwasi na RAIS.....Leo hii waziri husika analitengea shirika la TALC BILLION MOJA kwenye budget,jamani watanzania inatuingia akilini huyu kweli ni waziri ama is he serious na kazi zake????
TRL
HIILI NI VITUKO NAOMBA NIANDIKE KWA HERUFI KUBWA;HII KAMPUNI IMEBINAFSISHWA NA WAHINDI WALIOLETWA NA JEETU PATEL MKONO KWA MKONO KWA RAIS WETU KIKWETE....WAKAAHIDI MENGI TU...GAFLA TUKAAMBIWA WANACHUKUA VYUMA AMA ENGINE ZETU WALIZOZINUNU NYERERE ...ATI WANAPELEKA INDIA...BAADA YUA HAPO MNA TAARIFA WAMELETA ENGINE 25 AMBAZO ZIMEFUNGWA 15 NA KATI YA HIZO KILA MOJA TUNALIPIA LAKI NANE KWA SIKU....800,000....SIDHANI KAMA HUYU WAZIRI ANAIPENDA HII WIZARA YAKE...JAMANI.SAMAHANI KWA HILO....UKIACHA HILO ATCL HAINA HATA MTU WA KUWABEBA AMEENDA KUIPA TRL SH BILLION 80 KWENYE BAJETI....HIZI ZOTE NI KWA AJILI YA UCHAGUZI WANATUFANYA WAPUMBAVU...WATANZANIA TUAMKE TUACHANE NA UPUUUZI
TUME YA ATCL
NDUGU WAPENDWA ATCL ILIUNDIWA TUME ILIOONGOZWA NA MAPROFESA NA WENGI WAKALALAMIKA MAGAZETI WAKAANDIKA WANAYOWEZA .....MWISHO ILE TUME WAMETUMIA MILION 47,KWA MUDA WALIOPEWA HALAFU KILA MWANAKAMATI AKATUNUKIWA LAPTOP MPYA UKIACHA ZILE PER DIEM ZA KILA SIKU NA OVERTYM...
MWISHO WAMEKABIDHI MH WAZIRI AKADAI ANASUBIRI AKIKABIDHIWA ANAWATANGAZIA WANANCHI SABABU ZA KUSIMAMISHA SAFARI ZA ATCL;ALIPOKABIDHIWA AKALIPELEKA KWENYE DROO ZA OFISI ZAKE PALE UJENZI NA KUFUNGA DROO......ALIPOBANWA SANA AKADAI ANAMSUBIRI MWENYEKITI WA BODI ,YALIPOTOLEWA MAJIBU YA MWENYEKITI WA BODI HAKUNA KILICHOFANYIKA MPAKA SASA .......HUU NI UPUUUZI KABISA HATUYITAJI KUWA NA MAWAZIRI WA KUJUANA KWENYE OFSI NYETI KAMA HIZI LEO HII WANAOLITAFUNA TRL NA ATCL NI WALELWALE NA WANAENDELEA NA MBINU ZAO CHAFU....HATUJUI LAKINI IPO SIKU WANANCHI WATASEMA BASIIIIIIIIIIIIIIII IMETOSHA
KILA LA KHERI KAWAMBWA.......