au nasema uongo ndugu zanguuuuKwa sas tunataka kupeleka meli kubwa ya mizigo chato, ngoja kwnz tumalizie mipango yetu ndo tushugulikie yako.
Dah! ndo ukweli wenyewe.au nasema uongo ndugu zanguuuu
NdioHabari ndugu zangu,
Yani leo hii nimeachwa apeche alolo kwa utaratibu wa kufuatilia loss report baada ya kupata mafuriko na kuondokewa na baadhi ya vitu vyangu muhimu, so nikajikaza na kasema niende kituoni sasa kufika pale naambiwa niende stationery ya karibu na pale kituoni.
Akili yangu nikajua itakuwa copy tu ya Tsh 100 Au 200 naambiwa eti nitoe 2500, aiseee ghafla nikaishiwa nguvu na kuzimia, ile kuzinduka najikuta niko hospitali na nurses akanambia mitano tena.
Hivi wadau ndio utaratibu huu kweli?
Dah mkuu online miyeyusho mara nyingi nafikia hadi kwenye kulipa ukishalipa wanakwambia ripoti yako bado haijathibitishwa na mchezo unakua umeishia hapoloss report siku hizi inapatikana online mkuu jeshi la polisi limekua la kisasa wameishatoka kwenye ujima.
fanya mpango uwe na connection na polisi mambo yanakua yanaenda fasta au nasema uongo ndugu zanguuuuuDah mkuu online miyeyusho mara nyingi nafikia hadi kwenye kulipa ukishalipa wanakwambia ripoti yako bado haijathibitishwa na mchezo unakua umeishia hapoView attachment 1687476
hizi picha za mkuu zinafurahisha sana hicho kichwa kama kakichuguu😂
Labda hii nayo imeorodheshwa miongoni mwa vyanzo vya mapato.Dah mkuu online miyeyusho mara nyingi nafikia hadi kwenye kulipa ukishalipa wanakwambia ripoti yako bado haijathibitishwa na mchezo unakua umeishia hapoView attachment 1687476
Mimi nilipoteza simu, nilivyo report kwenye kampuni ya mtandao wa simu nayotumia nikaambiwa niende police kupata hiyo loss report.Habari ndugu zangu,
Yani leo hii nimeachwa apeche alolo kwa utaratibu wa kufuatilia loss report baada ya kupata mafuriko na kuondokewa na baadhi ya vitu vyangu muhimu, so nikajikaza na kasema niende kituoni sasa kufika pale naambiwa niende stationery ya karibu na pale kituoni.
Akili yangu nikajua itakuwa copy tu ya Tsh 100 Au 200 naambiwa eti nitoe 2500, aiseee ghafla nikaishiwa nguvu na kuzimia, ile kuzinduka najikuta niko hospitali na nurses akanambia mitano tena.
Hivi wadau ndio utaratibu huu kweli?
Tatizo ni ulaghai kwa wananchi kua loss report ni 500 wakati garama anayo lipa mwananchi sio hiyo.loss report siku hizi inapatikana online mkuu jeshi la polisi limekua la kisasa wameishatoka kwenye ujima.