Yaliyonisibu SEPTEMBER 11, Daah!

Yaliyonisibu SEPTEMBER 11, Daah!

Mr Confidential

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,532
Reaction score
2,415
Heshima kwenu wanajukwaa,

Jana, wakati tunakumbuka tukio la kigaidi la kule nchini Marekani nikajikuta naingia katika vitabu vya historia kwa namna yake.

1. Nilikua na trade FX, nikajikuta nachoma account yangu, daah! acheni tu

2. Nikiwa nasikilizia maumivu, nikapokea message ya BREAK UP kutoka kwa manzi (pisi) yangu. Ilhali tulishapanga kukutana hivi karibuni.

Maumivu nlopata acheni tu!

"Pesa ndio jawabu la mambo yote"
 
Ilikua na kiasi gani hio akaunti?
Ulikua una trade pair zipi?
Lot size ilikua ngapi?
Total trades zilikua ngapi?
 
Heshima kwenu wanajukwaa,

Jana, wakati tunakumbuka tukio la kigaidi la kule nchini Marekani nikajikuta naingia katika vitabu vya historia kwa namna yake.

1. Nilikua na trade FX, nikajikuta nachoma account yangu, daah! acheni tu

2. Nikiwa nasikilizia maumivu, nikapokea message ya BREAK UP kutoka kwa manzi (pisi) yangu. Ilhali tulishapanga kukutana hivi karibuni.

Maumivu nlopata acheni tu!

"Pesa ndio jawabu la mambo yote"

Umeunguza hela ngapi bhana...!?
IMG_1663.jpg
 
Back
Top Bottom