YALIYOPITA SI NDWELE: Simba tuangalie tumejikwaa wapi, tusimame tena, tujikung'ute mavumbi, tusonge mbele kuelekea ubingwa wa ligi kuu.

YALIYOPITA SI NDWELE: Simba tuangalie tumejikwaa wapi, tusimame tena, tujikung'ute mavumbi, tusonge mbele kuelekea ubingwa wa ligi kuu.

mpolekabisa

Senior Member
Joined
Oct 18, 2023
Posts
161
Reaction score
225
Asiyejua mpira hawezi kuelewa!! Kupigwa nyingi kwenye soka si ajabu na si ubovu wa timu, bali matokeo ya soka la kisasa huamuliwa kwenye benchi la ufundi!! Tutumie uzi huu kujitathmini bila jazba. Tumefikaje hapa? je ilikuwa ni lazima tufike hapa? tunatokaje hapa? Nini mchango wa kila sehemu (benchi la ufundi, wachezaji, viongozi na mashabiki) katika kufika hapa tulipofika!

Nianze na mawazo yangu!! 1. Kuna tatizo la usajili, tuna wachezaji ambao hatujaona thamani ya fedha tuliyowekeza kwao. Swali: Ilikuwaje tukawasajili? 2. Tukubali tukatae, kuna mapungufu ya kutosha tu kwenye benchi la ufundi!! Hadi sasa benchi letu la ufundi halina "first eleven"!! hilo ni tatizo!! 3. Kuna tuhuma za wachezaji kugombea namba nje ya uwanja!! hilo halina tija kwa timu!! ushindani unatakiwa uwe wa kiueledi ndani ya uwanja!! 4. Mashabiki tukosoe wachezaji kwa heshima na si bila heshima na kuwavunja moyo!! Ukweli usemwe bali kwa upendo, na mchezaji akikosolewa kwa heshima ajiangalie!! 5. Kwa viongozi: Jitafakarini na kujipima kwa dhati!!
 
Tatizo liko kwa wachezaji wenyewe wanapenda kuwazarau timu pinzani
 
Tatizo ni kuwa ......tuna timu imara

Kocha imara ......

Why tufungwe 5G[emoji32][emoji32][emoji32]
 
Asiyejua mpira hawezi kuelewa!! Kupigwa nyingi kwenye soka si ajabu na si ubovu wa timu, bali matokeo ya soka la kisasa huamuliwa kwenye benchi la ufundi!! Tutumie uzi huu kujitathmini bila jazba. Tumefikaje hapa? je ilikuwa ni lazima tufike hapa? tunatokaje hapa? Nini mchango wa kila sehemu (benchi la ufundi, wachezaji, viongozi na mashabiki) katika kufika hapa tulipofika!

Nianze na mawazo yangu!! 1. Kuna tatizo la usajili, tuna wachezaji ambao hatujaona thamani ya fedha tuliyowekeza kwao. Swali: Ilikuwaje tukawasajili? 2. Tukubali tukatae, kuna mapungufu ya kutosha tu kwenye benchi la ufundi!! Hadi sasa benchi letu la ufundi halina "first eleven"!! hilo ni tatizo!! 3. Kuna tuhuma za wachezaji kugombea namba nje ya uwanja!! hilo halina tija kwa timu!! ushindani unatakiwa uwe wa kiueledi ndani ya uwanja!! 4. Mashabiki tukosoe wachezaji kwa heshima na si bila heshima na kuwavunja moyo!! Ukweli usemwe bali kwa upendo, na mchezaji akikosolewa kwa heshima ajiangalie!! 5. Kwa viongozi: Jitafakarini na kujipima kwa dhati!!

Wachezaji wanalipwa stahiki zao kwa wakati?

Manula hajacheza zaidi ya mwaka; kwa nini amepangwa Leo?

Team imechoka. Back inakatika sana
 
Tatizo ni kuwa ......tuna timu imara

Kocha imara ......

Why tufungwe 5G[emoji32][emoji32][emoji32]
Siyo kweli!! Hakuna timu ambayo haijawahi kufungwa goli nyingi kwa wakati mmoja au mwingine!! Yanga wana uzoefu huo wa kula 5, 6, nk mbele ya simba!! Tafadhali usitutoe kwenye malengo ya dhati ya uzi huu wa kujitathmini kwa dhati bila jazba na kujifanyia uchambuzi!
 
Siyo kweli!! Hakuna timu ambayo haijawahi kufungwa goli nyingi kwa wakati mmoja au mwingine!! Yanga wana uzoefu huo wa kula 5, 6, nk mbele ya simba!! Tafadhali usitutoe kwenye malengo ya dhati ya uzi huu wa kujitathmini kwa dhati bila jazba na kujifanyia uchambuzi!
Ako kajamaa ni kautopolo asikuchoreshe
 
Wachezaji wanalipwa stahiki zao kwa wakati?

Manula hajacheza zaidi ya mwaka; kwa nini amepangwa Leo?

Team imechoka. Back inakatika sana
Hayo ndiyo mambo ya msingi ya kuyaangalia!! Manula ni golikipa mzuri lakini hana kabisa match fitness!! Hasa suala la kuwa makini katika kuwapanga mabeki wake!! Ninaamini moja ya kosa kubwa ni kumchezesha Manula kwenye mechi kubwa kama hii!! Anahitaji muda kuwa fit na uwezo wa kupanga vizuri mabeki wake!!
 
Back
Top Bottom