Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila siku ya Mungu nakutana na clip ya dada wa kiafrika hasa wakenya akilalamikia unyanyaswaji wa wanaokwenda kufanya kazi uarabuni. Ni hivi: culture za waarabu zinaruhusu utwana na ubwana na pia wanaamini kuwa mtwana ni lazima ateseke. Tajiri akiagiza aletewe dada wa kazi kutoka Afrika huwa anasema ''nimeagiza mtumwa''. Kinachonishangaza ni kwa nini hawa wasichana bado wanakimbilia huko? Ni akili za nyani? Uhai na fedha ni kipi muhimu? Wengine wanajaribu kuilaumu serikali na viongozi, kwanini wanapelekwa kwa nguvu?ubaguzi ni pale unapojibagua mwenyewe nafikiri
Huu ni upande mmoja, kuna upande wa pili
mbaya sana..sema wakutawaliwa hawawezi kuisha dunianiKila siku ya Mungu nakutana na clip ya dada wa kiafrika hasa wakenya akilalamikia unyanyaswaji wa wanaokwenda kufanya kazi uarabuni. Ni hivi: culture za waarabu zinaruhusu utwana na ubwana na pia wanaamini kuwa mtwana ni lazima ateseke. Tajiri akiagiza aletewe dada wa kazi kutoka Afrika huwa anasema ''nimeagiza mtumwa''. Kinachonishangaza ni kwa nini hawa wasichana bado wanakimbilia huko? Ni akili za nyani? Uhai na fedha ni kipi muhimu? Wengine wanajaribu kuilaumu serikali na viongozi, kwanini wanapelekwa kwa nguvu?
Mtu mweusi ndio mtu pekee ambaye ameshindwa kwenye nyanja zote;
za
Kujitawala
sayansi na teknolojia
Elimu
Utamaduni
siasa
Uchumi
Kusimamia miradi
Sanaa
Je ni kitu gani hasa ambacho tunaweza kukifanya kwa ufanisi na ustadi mkubwa?
HIVI NI LAZIMA KWENDA DUBAI?
Wanaijeria wameleta msala🤣🤣 .Nchi nyingi zinabagua africans weusi cause of Nigerians doings, ata South Africa awatakiwi kwa yale wanayoyafanya. Hapa Tanzania ni muda tu pia watatimuliwa kwani wanayoyafanya sio powa kabisa
Kwani lazima uishi huko.
Tumesombwa kama Mifugo na kwenda kuuzwa Uarabuni kwa karne kadhaa, na bado hata baada kupata Uhuru wenzetu waliopewa Uhuru wamekuwa tena ni Wakoloni weusi wasio na huruma hata kidogo.Hii dunia ukitoa wanyama kiumbe kinachofuata kwa unyonge ni mtu mweusi.
Waarabu ni wa hovyo kama ilivyo dini yao ya hovyoHata waarabu wa hapa bongo wanawapasua sana dada zetu back wale wapenda vitonga
Kuna mwana yupo mikochen yeye anaombag nyuma tu 🤣🤣🤣
Dada zetu wanasiri sana