Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Mara baada ya tamko la Rais, na after dinner Magogoni, kulikuwa na vichuguu vya hapa na pale kama mchwaz vichuguu namaanisha mikutano isiyo rasmi na baadae kichuguu kikuu ambacho muhandisi alikiendesha ila kwa kusikiliza tu, hakuwa na la kuchangia.
Agenda kuu ikiwa ni jinsi ya kulimaliza hili kwa fumabate yaani bila madhara kwa team na pia ili dogo asiwapande kichwani kwani kauli ya mkuu wa nchi ni maelekezo na takwa la kutekelezwa.
Ilidhaniwa kuamuliwa kuwa mtoto pendwa Zanzibar the finnest, abembelezwe arudi abakie Yanga hadi mwisho wa mkataba wake na changamoto zake na matakwa yote yaafikiwe. Shida ikaja kuwa hili litamdunisha sana mhandisi rais na ikizingatiwa kauli zake na wapambez za karibuni kuhusu dogo. Kwani machawa nao kujumlisha wachagoat walikuwa wameshachukua sides na bahasha za kaki kuendelea kumkandamiza.
Iliamuliwa hivyo ingawa muhandisi hakuwa na furaha na lakufanya, ila sasa dogo kuvutiwa waya yeye msimamo wake uko pale, abaki yeye ama Eng. Na sio tetesi bali muongozo ni kuwa anataka atatuliwe hilo ile aende upande wa pili msimu huu. Confirmed.
Angalizo: Yanga msiliamue kwa mihemko ya matamako na matamanio ya wanasiasa. Kuna FIFA na CAF mbele yenu.
Frengwa, kama jana kama leo kama juzi, ya kesho majaaaliwa.
Agenda kuu ikiwa ni jinsi ya kulimaliza hili kwa fumabate yaani bila madhara kwa team na pia ili dogo asiwapande kichwani kwani kauli ya mkuu wa nchi ni maelekezo na takwa la kutekelezwa.
Ilidhaniwa kuamuliwa kuwa mtoto pendwa Zanzibar the finnest, abembelezwe arudi abakie Yanga hadi mwisho wa mkataba wake na changamoto zake na matakwa yote yaafikiwe. Shida ikaja kuwa hili litamdunisha sana mhandisi rais na ikizingatiwa kauli zake na wapambez za karibuni kuhusu dogo. Kwani machawa nao kujumlisha wachagoat walikuwa wameshachukua sides na bahasha za kaki kuendelea kumkandamiza.
Iliamuliwa hivyo ingawa muhandisi hakuwa na furaha na lakufanya, ila sasa dogo kuvutiwa waya yeye msimamo wake uko pale, abaki yeye ama Eng. Na sio tetesi bali muongozo ni kuwa anataka atatuliwe hilo ile aende upande wa pili msimu huu. Confirmed.
Angalizo: Yanga msiliamue kwa mihemko ya matamako na matamanio ya wanasiasa. Kuna FIFA na CAF mbele yenu.
Frengwa, kama jana kama leo kama juzi, ya kesho majaaaliwa.