Pre GE2025 Yaliyotokea 2020 yatakuwa zaidi 2025 dalili zinaonyesha hakuna Jimbo itawaachia wapinzani. CCM imechokwa lakini wapinzani wamechokwa zaidi!

Pre GE2025 Yaliyotokea 2020 yatakuwa zaidi 2025 dalili zinaonyesha hakuna Jimbo itawaachia wapinzani. CCM imechokwa lakini wapinzani wamechokwa zaidi!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Habari ndio hiyo ni kweli ccm imechokwa ,Tena imechokwa lakini watanzania hawaoni mbadala wa ccm! Wapinzani ndio wamechokwa zaidi hakuna mfano ! Wao wenyewe pia wamejichoka.

Uchaguzi ujao ni dhidi ya waliochokwa na waliojichoka wenyewe!! Naona hata hamu kutamani uchaguzi ufanyike imeondoka miongoni mwetu. Tunasubiri nini? Tukapige kura kumchagua nani? Maana CCM tumeichoka na wapinzani tumewachoka zaidi, ajabu hata wao wamejichoka kabisa!
 
Habari ndio hiyo ni kweli ccm imechokwa ,Tena imechokwa lakini watanzania hawaoni mbadala wa ccm ! Wapinzani ndio wamechokwa zaidi hakuna mfano ! Wao wenyewe pia wamejichoka ! Uchaguzi ujao ni dhidi ya waliochokwa na waliojichoka wenyewe!! Naona hata hamu kutamani uchaguzi ufanyike imeondoka miongoni mwetu ! Tunasubiri nini ! Tukapige kura kumchagua nani? Maana ccm tumeichoka na wapinzani tumewachoka zaidi ..ajabu hata wao wamejichoka kabisa!
Dhalimu magu ndio alikuja kuua hamasa ya siasa za ushindani hapa nchini, kwa kushurutisha ccm ionekane inakubalika wakati sio kweli. Sasa hivi wananchi wamepuuza huo upuuzi uitwao uchaguzi, maana ccm inalazimisha kukaa madarakani kwa shuruti, na hakuna anayeitaka. Kwahiyo kuliko watu wakapoteze muda kwenda kujaa kwenye vituo vya kupigia kura wakati ni maagizo, ni Bora watu wasitokee kuonyesha ni kwa kiwango gani wameichoka ccm.

Hakuna uwezekano wa watu kuendelea kuchezewa kwenye hilo igizo la uchaguzi. Ccm sio chama Cha kizazi hiki.
 
Kama kila mtu akiwa na hisia na fikra zake hata kama ni upuuzi kama huu wa kwako anazirushia humu, basi tuna kazi kwelikweli

Afadhali hata kama ungekuja na analysis iliyoshiba ikiwa na ushahidi wa kisayansi wa hawa waliochokwa kidogo na hawa waliochokwa zaidi.

Lakini wewe umetoka baa au kilabu cha pombe za kienyeji na kuamua kutupia ulevi wako humu.

Duuh, kazi kwelikweli 🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
 
Habari ndio hiyo ni kweli ccm imechokwa ,Tena imechokwa lakini watanzania hawaoni mbadala wa ccm ! Wapinzani ndio wamechokwa zaidi hakuna mfano ! Wao wenyewe pia wamejichoka ! Uchaguzi ujao ni dhidi ya waliochokwa na waliojichoka wenyewe!! Naona hata hamu kutamani uchaguzi ufanyike imeondoka miongoni mwetu ! Tunasubiri nini ! Tukapige kura kumchagua nani? Maana ccm tumeichoka na wapinzani tumewachoka zaidi ..ajabu hata wao wamejichoka kabisa!
Umewachoka wapinzani ni lini walishika Dola Kuna watz wengi wajinga kama huyu,

Kama wapinzani wamechoka ni kwa sababu wamefanyiwa figisu ili wachike
 
Habari ndio hiyo ni kweli ccm imechokwa ,Tena imechokwa lakini watanzania hawaoni mbadala wa ccm ! Wapinzani ndio wamechokwa zaidi hakuna mfano ! Wao wenyewe pia wamejichoka ! Uchaguzi ujao ni dhidi ya waliochokwa na waliojichoka wenyewe!! Naona hata hamu kutamani uchaguzi ufanyike imeondoka miongoni mwetu ! Tunasubiri nini ! Tukapige kura kumchagua nani? Maana ccm tumeichoka na wapinzani tumewachoka zaidi ..ajabu hata wao wamejichoka kabisa!
Ccm haijachokwa,unajidanganya na cgadema wenzio
 
Dhalimu magu ndio alikuja kuua hamasa ya siasa za ushindani hapa nchini, kwa kushurutisha ccm ionekane inakubalika wakati sio kweli. Sasa hivi wananchi wamepuuza huo upuuzi uitwao uchaguzi, maana ccm inalazimisha kukaa madarakani kwa shuruti, na hakuna anayeitaka. Kwahiyo kuliko watu wakapoteze muda kwenda kujaa kwenye vituo vya kupigia kura wakati ni maagizo, ni Bora watu wasitokee kuonyesha ni kwa kiwango gani wameichoka ccm.

Hakuna uwezekano wa watu kuendelea kuchezewa kwenye hilo igizo la uchaguzi. Ccm sio chama Cha kizazi hiki.
Nimependa neno dhalimu.Mwanadamu pekee ambae nilifurahia kifo chake .na hata akifufuka ntaomba afe tena
 
Habari ndio hiyo ni kweli ccm imechokwa ,Tena imechokwa lakini watanzania hawaoni mbadala wa ccm ! Wapinzani ndio wamechokwa zaidi hakuna mfano ! Wao wenyewe pia wamejichoka ! Uchaguzi ujao ni dhidi ya waliochokwa na waliojichoka wenyewe!! Naona hata hamu kutamani uchaguzi ufanyike imeondoka miongoni mwetu ! Tunasubiri nini ! Tukapige kura kumchagua nani? Maana ccm tumeichoka na wapinzani tumewachoka zaidi ..ajabu hata wao wamejichoka kabisa!
Una homa ya ini.Pumzika.
 
Back
Top Bottom