Yaliyowakuta FA na AY Fiesta kumkuta Menina Dstv?

Yaliyowakuta FA na AY Fiesta kumkuta Menina Dstv?

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Baad ya Ay na Mwanfa kuwashtaki Tigo ilikuwa kimbembe jamaa wakiwa wadhamini wakuu wa Tigo fiesta wali wa block kabisa hao wawili kupafomu kwenye tamasha hilo haikujalisha ukaribu wa FA na Ruge ,wenye pesa zao walikataa kabisa

Kipindi hicho AY alikuwa mtu wa kusafiri sana ila FA alikuwa kama anaanza ku struggle na game hivi akitoa nyimbo hazi hit kabisa baada ya kushinda kesi na Tigo kuamriwa kulipa mamilioni ya pesa kwa hao jamaa kuna show ya Togo fiesta ilikuwa Arusha Mwana Fa alikuwepo huko akajichanganya kwenda kuingia tu kama mshabiki,weee jamaa alizuiwa getini kabisa yaani hakuna kuingia kwenye hiyo Tigo fiesta show

Sasa menina kawashtaki Dstv kwa kurusha kipindi cha umbeya cha kina lokole kwa kumdhalilisha na kumuita muuaji anadai fidia ya bilion 1.12 ,swali ni kwamba Menina anaonekana kwenye baadhi ya tamthilia zinazoruka kwenye hiyo hiyo masiha magic ya dstv ITAKUWAJE SASA?

Tutarajie character yake kuuliwa kwenye story????nahisi itatokea hivyo atapigwa stop kiaina kuonekana kwenye tamthiliya au kazi yoyote itakayoruka hapo
 
swali ni kwamba Menina anaonekana kwenye baadhi ya tamthilia zinazoruka kwenye hiyo hiyo masiha magic ya dstv ITAKUWAJE SASA?

Tutarajie character yake kuuliwa kwenye story????nahisi itatokea hivyo atapigwa stop kiaina kuonekana kwenye tamthiliya au kazi yoyote itakayoruka hapo
Kwenye hiyo tamthilia ya Jua kali hayupo siku hizi, kawekwa mtu mwingine kwenye part yake
 
Kwenye hiyo tamthilia ya Jua kali hayupo siku hizi, kawekwa mtu mwingine kwenye part yake
Nahisi ndiyo anatolewa hivyo itafika hatua hata kipindi cha kawaida asionekane yaliwakuta kina mwana fa na watu wa tigo kwenye fiesta
 
Nahisi ndiyo anatolewa hivyo itafika hatua hata kipindi cha kawaida asionekane yaliwakuta kina mwana fa na watu wa tigo kwenye fiesta
Maybe sababu baada tu ya msiba akaja mtu mpya nikafikiri yupo likizo ya maombolezo kumbe kafungua kesi.
All the best kwake, natumai haki itatendeka
 
Back
Top Bottom