Mi nahisi upande wa pili ulikuwa nao unawaza hivi
Dada fulani ana karibia kuolewa. Wenzie wanamshawishi akajirushe kwa mara ya mwisho maana baada ya hapo atakua "mfungwa". Kwa hiyo huyo mdada anatoka usiku na mashosti zake. Mida ya usiku sana imefika anaingia kwenye nyumba ambay wanaume huwa wanakuja kununua wasichana/wanawake!!!!
Kwa sense hiyo hakuna wakumlaumu kwa kuwa kila mmoja alikuwa anaaga uhuru wake wa ubachelor.