Yamemkuta, anaomba ushauri

Mwambie kama hajamshika na mwanamke aendelee naye tu, inawezekana rafiki ya mme wake ame fwd message kwa mme wake ili amsomee...c unajua wanaume wengine hawajaenda shule.

Aisay mimi ndo kama mme wa huyo mwanamke basi ningemuambia brother wake ndo katuma ile message...eti ananionyesha yeye shujaa wa kupenda penda nje :biggrin:
 

Nashukuru kwa ushauri umefika kama ulivyo
 
Sasa ni vizuri kumwambia friend wako amu uliza my husband wake hivi; Je unampenda huyu dame. Kama unampenda nikupelekee posa kuliko kufanya zinnaa. Mjamaa mwenyewe ataacha upuuzi wake huo. Believe me that is true. It might have worked on me.
 
Sasa ni vizuri kumwambia friend wako amu uliza my husband wake hivi; Je unampenda huyu dame. Kama unampenda nikupelekee posa kuliko kufanya zinnaa. Mjamaa mwenyewe ataacha upuuzi wake huo. Believe me that is true. It might have worked on me.
Hii nzuri sana...
 
Sasa ni vizuri kumwambia friend wako amu uliza my husband wake hivi; Je unampenda huyu dame. Kama unampenda nikupelekee posa kuliko kufanya zinnaa. Mjamaa mwenyewe ataacha upuuzi wake huo. Believe me that is true. It might have worked on me.

Imetulia hiyo!
 


Uongo huo umepitwa na wakati hakuna atakaye kubaliana na hilo. Hata kama ameforward rafiki wa mumewe ndo amwambie wakionana atampa dozi kubwa zaidi?
 
Uongo huo umepitwa na wakati hakuna atakaye kubaliana na hilo.
Hata huyo mwanamke naye kapitwa na wakati....angekuwa anaenda na wakati asinge soma message za mme wake, sababu hazimuhusi yeye.

Kwa kuwa huyo mwanamke kapitwa na wakati huo uwongo unaenda sambamba na yeye bila wasi wasi.
 
Reactions: PEA
Huyo alikuwa hajui kuwa mapenzi nikama taa ya umeme na simu ni kama switch,mapenzi huwashwa na simu na vile vile huzimwa na hiyo hiyo simu,sasa kama upo ndani ya mapenzi ukitaka kuishika simu ya mpenzi wako jua kuwa umejiandaa kulizima penzi lako!!
 
Hata huyo mwanamke naye kapitwa na wakati....angekuwa anaenda na wakati asinge soma message za mme wake, sababu hazimuhusi yeye.

Kwa kuwa huyo mwanamke kapitwa na wakati huo uwongo unaenda sambamba na yeye bila wasi wasi.
Sawa kabisa.....
 

Mshauri mkuu ni moyo wake! Anatakiwa apime njia gani ya kuendelea na ndowa au kujiondowa huku akiangalia faida za kila njia.
Ama pengine ingekuwa busara kumkabili kwanza mumewe na kutokana na matokeo ya makabiliano hayo ataweza kupima njia gani sahihi,

Nahofia atakaowaomba ushauri hawaelewi vizuri vipi mahusiano na mumewe yalivyo, au kuna vikwazo au vishikizi gani kwenye ndowa yao na mapenzi yao kwa ujumla
 
Hata huyo mwanamke naye kapitwa na wakati....angekuwa anaenda na wakati asinge soma message za mme wake, sababu hazimuhusi yeye.

Kwa kuwa huyo mwanamke kapitwa na wakati huo uwongo unaenda sambamba na yeye bila wasi wasi.

Mwanamke hana kosa bali pengine Mwanamme alitegesha> Sote tunajuwa kuwa kuna vitu ukishapeleka unafuta haraka isiende kwenye Sent na ukipokea vitu vyengine inakuwa kama espionage unaweka rohoni na kufuta haraka kwenye simu. Ruhusa ya kutumia simu ya mmojawapo kunaengeza kuaminiana kwenye ndowa na wala si kosa kusoma simu ya mwenzio.
 

Unajua siku hizi uaminifu kwenye ndoa ni f ndio maana watu wanajihami na simu zao. Kwa mtazamo wangu kama wanandoa wanashea kila kitu kwanini inapofika kwenye simu iwe ni tatizo. Hapo mwanamke hana kosa kabisa na hakuangalia kwa nia ya kujua kama anacheat bali alikuwa tu anaichezea simu ya mumewe.
 
Reactions: PEA
Hata huyo mwanamke naye kapitwa na wakati....angekuwa anaenda na wakati asinge soma message za mme wake, sababu hazimuhusi yeye.

Kwa kuwa huyo mwanamke kapitwa na wakati huo uwongo unaenda sambamba na yeye bila wasi wasi.

Sidhani kama kusoma sms kwenye simu ya mumewe ni kupitwa na wakati. Anyway message derivered.
 
Hilo ni tukio la ngapi? Mumewe kajiteteaje? Yeye bado anaipenda hiyo ndoa? Ukiacha hizo message kuna dalili nyingine mbaya ambazo mumwe kazionyesha kwa Mkewe? Huyo rafiki yako mpaka sasa kachukua hatua gani? Mumewe kaonyesha kujutia au amekomaa? Nijibu kwanza haya maswali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…