bartenderznz
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 398
- 195
Dah maskini kitoto...pole sana...Na katoto kameungua moto. Ni shida
Wafanyakazi wa Serikali wanapata shida sana, wengi wao wana maisha ya kubangaiza na kubahatisha, Serikali inabidi kuwafikiria
Sasa harusi nayo inakuumiza kichwa ...jitahidi kuwa fikra pevuMimi nafanya kazi Serikalini. Nimekwama kifedha. Nahtaj mkopo LAKI 5.mwezi huu KODI. Mtoto anaumwa. Kaka anafunga harusi. Sihachanga. Nilikopa bank nikanunua kiwanja bado makato makubwa. Wanaume tumeumbwa mateso.
Hilo la harusi ondoa kwenye list. Kama huna hela usichange na mweleze ndugu yako ukweli. Kisha ni vizuri ukaambatanisha document za hosipitali za matibabu ya mtoto.Mimi nafanya kazi Serikalini. Nimekwama kifedha. Nahtaj mkopo LAKI 5.mwezi huu KODI. Mtoto anaumwa. Kaka anafunga harusi. Sihachanga. Nilikopa bank nikanunua kiwanja bado makato makubwa. Wanaume tumeumbwa mateso.
Kodi na mtoto kuumwa ni sawa,ila la kuchanga harusi tupilia mbali,wanadamu hua tunachanganyikiwa kwa kujitakia,ningekua nakujua na upo hapa nilipo ningekusaidia mzigo wa mtoto wewe ukapambana na kodi,harusi ningekushauli hata usiendeMimi nafanya kazi serikalini. Nimekwama kifedha. Nahitaji mkopo laki 5. Mwezi huu kodi. Mtoto anaumwa. kaka anafunga harusi. Sijachanga. Nilikopa bank nikanunua kiwanja bado makato makubwa. Wanaume tumeumbwa mateso.