Yamenikuta leo Mama G

Mawazo yangu yameenda mbali sana ningali nasoma hii kadhia. Nilianza kufikiri na kutafakari siku roho ya binadamu i napoanza kutoka kuwa unakuwa huwezi pata msaada hata kwa mtu yyte ni kila mtu na mola wake.
Nafikiriaga sana hilo nakosa raha
 
Mama Sabrina

Mimi nilikuwa nasubiri kuona umeandika "nikaamka, kumbe ilikuwa ndoto mbaya tu"

Sasa mlango gani huo unajifungia kutoka ndani?

Juzi nilikuwa naangalia TV, kunamama kamfungia mtoto kwenye gari, ikabidi aite polisi wamsaidie kuvunja dirishana kumtoa mtoto, nikasema mimi garilangu siwezi kufunga milango mpaka niwe na funguo zangu nje.

Na milango ya nyumba ya ndani yote ukijifungia ndani maana yake huwezi kutoka na funguo unazo.

Wangefanya milango yote unafunga na funguo, ukiufunga kwa ndani unazo funguo, ukifunga kwa nje unazofunguo, kimbembe ukipoteza funguo. N ahapounatakiwauwe na funguo za akiba sehemu.
 
Umekosea mlango wa chooni ni wa Mbao akioga Maji yanaumwagikia na yaonesha ni saipilasi si mninga. Aidha aliposafiri hakuacha mtu na anafagia kwa chelewa
 
Hahaha ni sawa uache funguo za akiba ndani ya nyumba ,ukipoteza ulizo nazo huwezi kuingia ndani ya NYUMBA
 
Hahaha yani hata mm nimeshajifungia haya mavitasa ya kichina yanaboa nashukuru wale wakaka wafanya usafi nje walichukua ufunguo sebleni wakanifungulia kwa nje tena nilikuwa chooni sitasahau nikienda chooni naegesha mlango
 
Unaonyesha laini sana...hujakutana na shurba zakufanya, shughuli zakutoa jasho(kama kukata kuni),Wewe zaidi ya ile ufanyayo kwa bed hakuna nyingine yakukutoa jasho.Pole lakini siku nyingine ikitokea niite nami nitasikia nitakuja kukuvika taulo mway.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] watu mna vtukoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…