Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Pole aseeIliwahi nitokea ila bahati nzuri kaka angu mmoja alikuwepo..akapanda kwenye silingibodi ya stoo akatambaa hadi Usawa wa bafu akanirushia funguo..ila nilipiga kelele sana Siku ile
AsantePole asee
Inaonekana hili tatizo limewatokea sana watuAsante
Yes inawezekanaInaonekana hili tatizo limewatokea sana watu
Maana nimeona comments za wadau hapo tofauti nao wamekumbana na hili ttzYes inawezekana
Haha..ila usiombe yakukute islael unamuona huyu hapaMaana nimeona comments za wadau hapo tofauti nao wamekumbana na hili ttz
HahahaHaha..ila usiombe yakukute islael unamuona huyu hapa
Unadhani!! Ile siku nilikua napiga kelele kwa uogaHahaha
Ukawa unahisi kifo kinakaribia,ila hapo kwa hali hy uoga lzmUnadhani!! Ile siku nilikua napiga kelele kwa uoga
Yani acha tuUkawa unahisi kifo kinakaribia,ila hapo kwa hali hy uoga lzm
Mninga hautanuki ukipata unyevunyevu. Miti mingine hutanuka na kupinda hivyo ukipazimisha kuufunga unabana: aidha majengo ya kisasa Milango kama ya chooni hufungukia nje baadala ya ndani ikiwa ni mojawapo ya kusaidia katika dharula. Je, hiyo ni nyumba ya kupanga au ya urithi?Ingekuwa mninga ungekuwaje na kuhusu kujilock
Hahahaaaa...daahKungekuwa na camera inanichukua mngecheka mpaka mzimie acha tu
Kama kungekua na CCTV camera mule ndani inarekodi ningekua kituko cha dunia!!Hii kiboko
Pole mnoKama kungekua na CCTV camera mule ndani inarekodi ningekua kituko cha dunia!!
Maana nilizunguka kila engo ya store!
Mwishowe nkajichokea na kulala kwenye gunia la pumba hadi asubuhi nilipopata wazo
Stoo ilikuwa mbali na nyumbani au ?,,Kama kungekua na CCTV camera mule ndani inarekodi ningekua kituko cha dunia!!
Maana nilizunguka kila engo ya store!
Mwishowe nkajichokea na kulala kwenye gunia la pumba hadi asubuhi nilipopata wazo
ShukraniPole
Ahaaa sawa nimekupata mi hata sijui hii ni mbao ipi ,Mninga hautanuki ukipata unyevunyevu. Miti mingine hutanuka na kupinda hivyo ukipazimisha kuufunga unabana: aidha majengo ya kisasa Milango kama ya chooni hufungukia nje baadala ya ndani ikiwa ni mojawapo ya kusaidia katika dharula. Je, hiyo ni nyumba ya kupanga au ya urithi?
Halaf ukishapanga BilgetNaomba nije nipange kwenu..