Yamenikuta mwenzenu

Sasa kama Mtu ameshatoka " kushindiliwa " na " mkuyenge " wa maana na umeharibu mipango yake yote ya " Kibaiolojia " unataka akuanikie kila kitu hapa hapa sebuleni Mkuu?
[emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]
 
Poleee ila mimi yalio nikuta sioni umuhimu wa haya mambo na kamwe sitowahi?? Nilivuliwa nguo na kutiwa aibu mbele za watu
[emoji17] [emoji17] [emoji17] pole sasa ilikuaje?.....mbona nahisi kama lako ni zaidi?
 
[emoji17] [emoji17] [emoji17] pole sasa ilikuaje?.....mbona nahisi kama lako ni zaidi?
Acha tu malyakishu adi leo bado najiona kama vile teja wa maisha yangu yote yaani zezeta, to make it worse hata wakunifariji au hata kunipa ushauri nao walikuwa hawamo...????? MPENZI NI FU***** SUCKER....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…