Malyakishu
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,968
- 2,347
- Thread starter
-
- #81
Yeuwiiiiiii.....yewomiiiiiiipole mpenzi .. bora kakuacha sa hivi kuliko angekuoa halafu akucheat na asikuheshimu kila uchwao
NmekuelewaMkuu usiishie kuelewa Ujumbe tu nielewe na mimi pia.
kuna jemaa mele yakoYeuwiiiiiii.....yewomiiiiiii
.......naona ningeumia maradufu
Asante mpenzi yote kheri
Namimi pia nilishukuru kwa hilo....kuwa mkweliPole sana
Huwa inauma sana ila bora kakwambia ukweli kuliko angeendelea kukupotezea muda
Na Mimi naamini hivyokuna jemaa mele yako
Kazi ya moyo ni kupres damu kupenda ni kihere -here cha mtu,,[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]leo nmelia sana mpaka sasa sina usingizi siku yangu naiona ndefu ni kama miaka mpaka siku hii kuisha[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] binadamu jamani
Ngoja niweke story yenyewe ila sihitaji PM
Nilikuwa na mpenzi nakiri nilimpenda kwa hali zote.sikua nahitaji pesa wala Mali kutoka kwake nilimpenda ,nilimjali na kumheshimu lakini alibadilika gafla na kuanza kupunguza mawasiliano sikushangaa sana nikajua lambdani shughuli zina mfanya awe hvyo. kwahyo nikaendelea kumvumilia lakini mwisho uvumilivu ulinishinda nikawanamsihi kirafiki tu kama haniitaji aniambie. Lakini ndani ya miaka miwili ya mahusiano jana ananiambia anampenzi na familia yao inampenda sana huyo binti kwahyo hawezi kuwa na mimi
Mkuu hata mimi zamani nilikua naumia saaana na mapenzi nilikua nalia sana tena sanaNmekuelewa
Chura unae??!ni story ndefu ...machozi yaninitiririka kila muda ..sijui nmekosea wap
Chura unae??!
Pengine kama ni makosa ni ya kibaiolojia.
Pole.
[emoji5] [emoji5] [emoji5] nzuriMkuu hata mimi zamani nilikua naumia saaana na mapenzi nilikua nalia sana tena sana
baadae nikakaa nikajiuliza ivi huyu msichana mbona miezi sita nyuma nilikua simjui kabisa?
nashindwaje kurudi nyuma na kumsahau?
kama niliweza kumpata yeye kwani nashindwa nini kumpata mwingine?
nikasema kuanzia leo nitasumbuka na mdogo wangu aliezaliwa namuona anaua namuona namuogesha namchapa
nikasema nitahangaika na kaka angu niliezaliwa namuona ananichapa ananikanya ananituma nafarahi akiniletea zawadi
nakuja kwa dadaangu pia nakumbuka hivyo hivyo
so saivi msichana akiniacha nakumbuka tu huyu nilimjua lini? nakumbuka naishia kumwambia kila la kheri dada
Badala ya kujibu swali na kuzipokea pole zangu nawe unakuja na swali kwangu yaani ngachoka!!Wewe unae chura?
[emoji57] [emoji57] [emoji57]Badala ya kujibu swali na kuzipokea pole zangu nawe unakuja na swali kwangu yaani ngachoka!!
Pengine sababu ya kuachwa inatokana na tabia iliyobebwa na ukurupukaji kama huu uliouonyesha
Jitafakari watu bado wapo wengi tu duniani ujisahihishe utampata kumbikumbi wako.
Thanks nimejifunzaPole sana.
Mapenzi yana siri nzito sana. Huyo atakuwa mwanaume wa dar sbb wengi ni matapeli.
Mungu akutie nguvu, huwa inaniuma sana nikiona mtu amesalitiwa.
Basi bana ndiyo imetokea ila nakuomba tulia angalau mpaka mwaka huu upite ndiyo uanze mahusiano mapya
Na siku zote ukiona mwenzako anapunguza mawasiliano shituka bora ww humuwahi kumuacha kuliko yy kukuacha japo roho itakuuma lkn ni njia bora sana.
Km kwa siku mlikuwa mnapigiana simu zaid ya 5 akaanza kupunguza mpaka 1 kuna wakati hakutafuti mpaka ww umtafute au anachelewa kujibu sms au anapotezea missed calls hapo shituka. Penzi linakufa hiyo taratibu
Dada yangu ni kawaida ktk mahusiano ni km msiba. Hatutegemei lkn ndiyo hatuna jinsi inapotokea. Na hatuwezi kurudisha siku nyumaThanks nimejifunza
Na kwel inaonekana unamaumivu, maana hata story inaonekana hujamaliza, bt pole sanaa utamsahau tuni story ndefu ...machozi yaninitiririka kila muda ..sijui nmekosea wap