Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Hahaha eti akuelewe na weweMkuu usiishie kuelewa Ujumbe tu nielewe na mimi pia.
ha ha ha ha Mkuu asiiishie tu kuelewa maneno yanguu anielewe na mimi nilietoa manenoHahaha eti akuelewe na wewe
Teh hilo nalo muhimuha ha ha ha Mkuu asiiishie tu kuelewa maneno yanguu anielewe na mimi nilietoa maneno
Teh hilo nalo muhimu
Teeh...teh.... ngoja nianzeha ha ha ha Mkuu asiiishie tu kuelewa maneno yanguu anielewe na mimi nilietoa maneno
ndio unielewe sasa sio uanze mimi ntakusadia kabisa kabisa kumsahau huyo baba mwenye familia aliekuachia majonzi makubwaTeeh...teh.... ngoja nianze
Najitahidi kumwomba mungu anitue huu mzigo wa mawazo....naimani soon ntakua poaJamani! Pole sana! Wasichana wengi kwenye mahusiani ni michepuko na hatujijui tu! Mi nilikaa mwaka mzima na mkaka nikajua tutafika mbali kumbe mwenzangu aliacha familia na watoto wawili Songea.
Pole sana! Jikaze dada! Jipange vizuri na maisha yaendelee. Usimlilie itakuuma zaidi. Ona kama ni mapito tu katika maisha. Usimuoneshe ata kidogo kama amekuumiza, kua na furaha ata ya kufeki....
Yaani huo ni unyama!
What doesn't kill you makes you stronger!Najitahidi kumwomba mungu anitue huu mzigo wa mawazo....naimani soon ntakua poa
Basi kama umekiri mungu yupo na unaamin kuwa yupoNashindwa...lakini naimani mungu yupo
Pole bibie. Kwa bahati mbaya kila anayejihusisha na kupenda ajue kuna siku ataumizwa tu. Ni part of the game. Lia, jibebe uanze maisha upya tena.,Hakuna ulipokosea ni kawaida ya wanaume kuoa wasiowapenda kuridhisha Mama zao, marafiki nk. You are just fine, stop existing start living
Basi kama umekiri mungu yupo na unaamin kuwa yupo
Basi amini kuwa mwenzako uliyepangiwa naye yupo iko siku mtaunganishwa pamoja acha kuwa dhaifu wenzako wanakula bata wewe unamwaga chozi
Karib sanaAsante kwa ushauri
Pole sana.
Mapenzi yana siri nzito sana. Huyo atakuwa mwanaume wa dar sbb wengi ni matapeli.
Mungu akutie nguvu, huwa inaniuma sana nikiona mtu amesalitiwa.
Basi bana ndiyo imetokea ila nakuomba tulia angalau mpaka mwaka huu upite ndiyo uanze mahusiano mapya
Na siku zote ukiona mwenzako anapunguza mawasiliano shituka bora ww humuwahi kumuacha kuliko yy kukuacha japo roho itakuuma lkn ni njia bora sana.
Km kwa siku mlikuwa mnapigiana simu zaid ya 5 akaanza kupunguza mpaka 1 kuna wakati hakutafuti mpaka ww umtafute au anachelewa kujibu sms au anapotezea missed calls hapo shituka. Penzi linakufa hiyo taratibu
[emoji121][emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]leo nmelia sana mpaka sasa sina usingizi siku yangu naiona ndefu ni kama miaka mpaka siku hii kuisha[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] binadamu jamani
Ngoja niweke story yenyewe ila sihitaji PM
Nilikuwa na mpenzi nakiri nilimpenda kwa hali zote.sikua nahitaji pesa wala Mali kutoka kwake nilimpenda ,nilimjali na kumheshimu lakini alibadilika gafla na kuanza kupunguza mawasiliano sikushangaa sana nikajua lambdani shughuli zina mfanya awe hvyo. kwahyo nikaendelea kumvumilia lakini mwisho uvumilivu ulinishinda nikawanamsihi kirafiki tu kama haniitaji aniambie. Lakini ndani ya miaka miwili ya mahusiano jana ananiambia anampenzi na familia yao inampenda sana huyo binti kwahyo hawezi kuwa na mimi
[emoji121]
WEKA PICHA YA HILI TANGAZO LA CHEREKO!
[emoji121]Mbona bangi hazikusaidii we kijana siuache tu