proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,479
- 1,348
Habari wana JF wenzangu,
Mimi ni mjasiriamali takribani miaka kadhaa sasa, nafanya biashara ya stationaries na biashara zingine zinazolingana na hiyo hapo juu.
Lengo la kuandika Uzi huu ni kuomba ushauri kwa takribani miaka 3 hii ya karibuni biashara haifanyi vizuri mpaka imefikia point pesa za kulipa pango natoa kutoka vyanzo vingine vya pesa.
Kwa sasa nina mfanyakazi mmoja ila bado mambo yanazidi kuwa magumu siku hadi siku, kinachopatikana baada ya kutoa gharama kama vile umeme, mshahara wa mfanyakazi, pango, ulinzi ni kidogo sana na Mara nyingine hata faida hamna kabisa.
Naomba ushauri wenu nini niweze kufanya ili kujinasua na hili janga maana bado ni nia ya dhani ya kuendelea na biashara.
Mimi ni mjasiriamali takribani miaka kadhaa sasa, nafanya biashara ya stationaries na biashara zingine zinazolingana na hiyo hapo juu.
Lengo la kuandika Uzi huu ni kuomba ushauri kwa takribani miaka 3 hii ya karibuni biashara haifanyi vizuri mpaka imefikia point pesa za kulipa pango natoa kutoka vyanzo vingine vya pesa.
Kwa sasa nina mfanyakazi mmoja ila bado mambo yanazidi kuwa magumu siku hadi siku, kinachopatikana baada ya kutoa gharama kama vile umeme, mshahara wa mfanyakazi, pango, ulinzi ni kidogo sana na Mara nyingine hata faida hamna kabisa.
Naomba ushauri wenu nini niweze kufanya ili kujinasua na hili janga maana bado ni nia ya dhani ya kuendelea na biashara.