Hakuna jinsi Zaidi ya kumsamehe au kutatua hizo kero zeno, huwezi ishi kwa Amani hata siku moja kama una chuki na mtu, tena ukizingatia mnaishi nyumba moja, samehe na sana umuombe mungu akupe moyo wa subra na uvumilivu, hakuan njia sahihi Zaidi ya kusamehe, dawa hapo nikumpenda tu na neon adui lipite.