Yamenikuta...

Alikutuma useme? Na hiyo kazi ya kunyoa wajane ulianza lini na bei zako zikoje?
 
hili jukwaa too much kutoana akili
 
Aliacha kunyoa msitu wa amazoni toka kipindi amefiwa na mme wake au aliamua kufuga tu?

Hongera
 
Anaefuata kufa ni aliyekula vha marehemu, maana ndivyo ilivyo
 
Anaefuata kufa ni aliyekula vha marehemu, maana ndivyo ilivyo
Naona umeamua kuvaa viatu vya marehemu kindakindaki next time atakuambia kingine marehemu alikuwa akikifanya

Kwa maana hii baada ya miezi mitano wewe unakuwa marehemu kabisa maana unakuwa umeshamaliza kufanya kila alichofanya marehemu na baada ya hapo itakulazimu umfuate marehemu
 
Mwanamke katoka kufiwa na mme wewe unayekutana naye for the 1 time since death unabeba mkosi mkubwa ktk ulimwengu ule mwingine.
Kuna hatua za kupitia kumsaidia huyo mama kabla hujahusiana naye ili wewe uwe salama na yeye awe huru.

Nadhani unajipongeza ila hujui kuwa umejiumiza sana ktk ulimwengu usioonekana.

Ni imani tu siyo lazima uamini but ukweli ni mzito.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toa hints kidogo bc kuhusiana na huo ulimwengu mwingine
 
Mwanadamu hawezi kubaki salama kwa kutimiza kila hitaji la moyo wake bali kwa matumizi sahihi ya fahamu zake!
 
Nasikitika tu kusema hivi....
Mke wa marehemu amekutunuku bure kabisa, tena yaeleke mama wa watu haukua na ajizi kabisa, leo usivyo na adabu unakuja kumtangaza...[emoji41][emoji41]
Vijana wengine akili zao ni 0 ..pia huyo mjane nae anamatatizo anaanzaje kutoka na mtu ambaye hayana discpline

Alishindwa hata kumchunguza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…