Yamenikuta😌

Peribus

Senior Member
Joined
Nov 28, 2021
Posts
101
Reaction score
177
Haka ka under twenty cjuw kanatakaje?
 

Attachments

  • Screenshot_2024-11-02-19-23-37-37_cf3cf72bd8e53b0db7ddb0a6f2208af9.jpg
    135.6 KB · Views: 2
Haka ka under twenty cjuw kanatakaje?
Nimeshaona tatizo lilipo, nikuambie tu rafiki, tafuta tu mshangazi wala huwezi juta, kwanza wanaelewa muda wa kuwasiliana, na huwezi ona anakupelekesha yaan utabembelezwa utadekezwa hadi ujishangae ulikuwa wapi, watoto wa 2000 watakuua kwa pressure kishaona udhaifu wako na ndio anapiga hapohapo,. Mwisho mpelekee moto wa petrol na weweee yaani sijui moto gani unaomuwashia hadi anakuonyesha dharau za hv jaman nimelia sanaa
 
Haka ka under twenty cjuw kanatakaje?
Nimeshaona tatizo lilipo, nikuambie tu rafiki, tafuta tu mshangazi wala huwezi juta, kwanza wanaelewa muda wa kuwasiliana, na huwezi ona anakupelekesha yaan utabembelezwa utadekezwa hadi ujishangae ulikuwa wapi, watoto wa 2000 watakuua kwa pressure kishaona udhaifu wako na ndio anapiga hapohapo,. Mwisho mpelekee moto wa petrol na weweee yaani sijui moto gani unaomuwashia hadi anakuonyesha dharau za hv jaman nimelia sanaa
 
1. Simp.
2. Weak.
3. Indecisive.
4. Unframed.
5. No masculine purpose.
6. Emotional.
7. Oneitis.
Stop this nonsense.
Grow up.
Na wewe umeandika KIKRISTU ili tusielewe au? Kwanza ulitusomesha kwa ras simba? Usituchoshe bhana nimechukia maana hata sijaelewašŸ˜…
 
Unakatwa biti kama hauna akili nzuri...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…