kiumbebutu
Member
- Jan 21, 2020
- 73
- 212
๐๐๐๐๐๐๐Ni nini mbaya na weweHauchukui nafasi ya daktari lakini utoa wazo zuri kwa kile unachokipitia
Mi hata sijasoma, jamaa ni goloko la kutupaMwanaume unawekaje font za kisenge kwenye simu?
Mnakera
Asante ndugu, nilikua namtafutia tusi na mimiMwanaume unawekaje font za kisenge kwenye simu?
Mnakera
Hivi hii ni nini?Hauchukui nafasi ya daktari lakini utoa wazo zuri kwa kile unachokipitia
Shida ya kupenda vitoto vinataka mpgiane simu kama wanafunzi muulizane hadi afya ya kukuHaka ka under twenty cjuw kanatakaje?
HahahahaShida ya kupenda vitoto vinataka mpgiane simu kama wanafunzi muulizane hadi afya ya kuku
Jeshi gani hilo mnachuchumaa, majeshi ya siku hizi rojorojo sana.๐๐๐๐๐๐
Ulijua choo cha kukaa ety.....
Hapa tuna chuchumaa tuu kama jeshini
Vishuu wee umepitia jeshini mkuu ๐๐๐๐Jeshi gani hilo mnachuchumaa, majeshi ya siku hizi rojorojo sana.
Enzi zetu unakata gogo huku unakimbia maana muda wa kuchuchumaa hamna.