Yamenikutaaa ndugu zangu

Si afadhali uchomwe kisu ndugu yangu unaweza kuponea chupuchupu. Anaweza akamkata Mr. Kipara huko chini akakuacha huna jinsia.
 
Huyo dada ananipenda kufa wivu umemzidi mkuu mpaka inakera sana

Ndio maana nimekueleza kuwa kitakachofuata ni wewe kukatwa mashine yako ubaki bila jinsia. Tena akikutembelea uwe unalala na jeans kabisaa kujihami.
 
sikiliza instincts zako. kama moyo wao unasita kumuoa, usimwoe kabisa. huenda kuna kitu kikubwa na kibaya kiko mbeleni kati yenu na hizo ni tahadhari. mke wa kumuoa hu-flow naturally na wala hutoona kuwa unatumia nguvu kubwa kupambana na resistance ndani ya nafsi yako kuingia kwenye ndoa.
 
Anabeep fire huyo.............kama vipi piga chini
 

Ukiendelea naye huyo utajuta atakapokuwa ameingia ndani 'rasmi' utajuuuuuuuuuuuuuta kwa nini ulimuoa. Mpige chini mkuu au kama vipi fuatilia familia yake ujue wazazi wake wanaishije, usije ukaoa matatizo ukaishia kufa bure. Wengi wa wanawake wa mtindo huo huwa wanatoka kwenye familia ambayo baba na mama huwa hawana mahusiano mazuri. So inakuwa kama msichana anajihami asije akakutana na matatzo alopitia mama yake. Kama hali ilikuwa hivy kwao, atakupa matatatizo sana na hautaweza furahia maisha ukiwa naye. Whatch out, you are diging up your own grave in which you will be burried alive!!!!!!!!! Ushauri tu!
 
Huyo demu ni mmachame nini? Angalia mkuu unaweza ukawa genderless!
 
"listen to many but decide alone" yaonekana kabisa kuwa huyu dada anakupenda kumbuka kuwa hana IMAN na wewe tena kuringana na hzo text hata angekuwa n mm kukutra text yake ya mapenzi arafu anadai ni rafiki yako 2 wakawaida na vle vtext lazma awe vle cha msingi na hapo ni patamu sana ulishajua tatzo la ugonvi wake nini, jtahid kubadilika na kumuwekea mazngira ya kukuamini, kama vp tokea leo we mpe simu yako tu, i mean awe na huru wakuimilik utakuwa umeua kasi yote.
 
Mapenzi hayako hivo akupendaye atakuamini..... nyuma ya pazia yy ni msaliti na anfikiri ww pia u msaliti take time mchunguze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…